Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

hakuna anaependa kutunzwa hapa mi nna pesa zangu na wewe tafuta zako, kilichotukutanisha ni nyge basi tuishie hapohapo kwenye nyge shida peleka kwa babaako.
na hayo mashuka kaleta mwenyewe sisi hatunaga shobo za kuomba.
narudia tena, kilichotukutanisha ni viungo hivi [emoji111] viwili tu, zaidi ya hapo kila mtu apambane na hali yake hakuna mteremko sku hizi na hakuna malipo baada ya sex kana kwamba nyie mnauza hio kitu.
shida hukooo kwa babaako.
hahahahahah kumbe wanaleta wenyewe? na walete tu hakuna namna
nimekupata mkuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wenye pesa wanajisema!!!!hivi wewe uwe na pesa kutwa kucha unashinda jf kuandika uzi unapata wapi time for production kama sio ela za kuhongwa????
Tuliza mshono singo maza dawa ikuingie vizur

Mimi kaz zangu nimeweka wafanyakaz wa kila umri kwahiyo usishangae kuniona online kila saa

Alaf nina hela nyingi za kununua bando ndo maana nakua online mda wote
 
Hilo sio tatizo, wewe ndio tatizo mdogo wangu, maana umeparamia mambo yaliyokuzidi umri. Ila ungekuwa mkubwa ungetambua kuwa hayo ni majukumu yako ya kawaida tu dogo.

MBITIYAZA hebu njoo huku tusaidiane kumlea huyu mtoto wetu.
Umekosea kumuita huyo sister espy mambo gan sasa umefanya
 
hahahahahah kumbe wanaleta wenyewe? na walete tu hakuna namna
nimekupata mkuu
1. wanaume ni wachache
2. kati ya hao wachache ni wachache wana nguvu za kiume
3. kati ya hao wachache wenye nguvu kuna wachache wanaojua mapenzi

kwa jinsi idadi inavozidi kushuka unaona kabisa wanaume wenye uwezo wao wapo wachache.
sasa mwanamke unabahatika kupata mwanaume mwenye mauwezo yake, kitu adim kabisa, unaleta tabia za kuombaomba hela wakati wenzako wanalialia kuwa na mimi?
yani wenzako wanasema I want nothing but love from you, wewe unasema I want love n money too?

asalale.
 
1. wanaume ni wachache
2. kati ya hao wachache ni wachache wana nguvu za kiume
3. kati ya hao wachache wenye nguvu kuna wachache wanaojua mapenzi

kwa jinsi idadi inavozidi kushuka unaona kabisa wanaume wenye uwezo wao wapo wachache.
sasa mwanamke unabahatika kupata mwanaume mwenye mauwezo yake, kitu adim kabisa, unaleta tabia za kuombaomba hela wakati wenzako wanalialia kuwa na mimi?
yani wenzako wanasema I want nothing but love from you, wewe unasema I want love n money too?

asalale.
hahahahahahah hizi akili za siku hizi jamani duuuh
asante nimekuelewa mkuu
 
hahahahahahah hizi akili za siku hizi jamani duuuh
asante nimekuelewa mkuu
Kwani na wewe huwa unaomba hela ya "sabuni" mkuu? Siku hizi nafikiri wanaiita hela ya salon.Sijui hao wadada huwa mpaka wakitoka kwenye starehe za kimwili ndio wanapandwa na ashiki ya kutengenezwa nywele au huwa ni tozo ya tendo wanalipisha indirectly?
 
Jambo zuri kwa mzazi wa kiume ni kumueleza kila kitu binti yake na kwa uwazi na jinsi ya kuwatambua viumbe kama hawa wanaoonja onja kila mwanamke ili asi fall into the hands of these predators
So the choice becomes hers to take which direction and by the way mwanamke anaejielewa, ambaye ana hofu ya Mungu, upstairs kuko vizuri, anayetambua thamani yake hawez babaishwa na cheap boys ...mwanamke wa hivo ataweweseka na A REAL MAN.
Jombaa hawa wanawake ni magodoro ya kulalia, unalaila leo kesho unatupa unachukua jingine
 
Eti singo maza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ukipata bwana usiache kunitumia kadi ya mwaliko,utakapo olewa.sawa mdogo wangu.
Naona umeanza matus badala ya hoja
 
Back
Top Bottom