Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa hakujui huyotatizo lako kijana huenda hujui unazungumza na nani, hata ufanyeje huwezi nilipa mshahara ninaolipwa
uliza wanaonifahamu kina Beira watakuambia acha poyoyo mingi
Mwanza WanasemajeTuko pamoja sana mkuu
kabisa mkuu. unakuta boya linajisifia mi nahudumia kumbe dem kashatuma mesej za kuombaomba elf kumi kwa wanaume kama kumi akija kutumiwa na wote kashaokoteza laki moja. yani ghafla aka kadem kanatengeneza sinking fund.Jombaa hawa wanawake ni magodoro ya kulalia, unalaila leo kesho unatupa unachukua jingine
Hahaha jamaa wakawatemea sumu wakawapiga chini!!??Hujajua tu mkuu
Wengi wanotokwa povu jingi hapa ni singo maza waliotelekezwa baada ya kuzidisha njaa
mwambie mwambie hanijui kabisaHahaaaa hakujui huyo
Lakin mimi nakupenda sana maana hujawahi nipiga mzinga
Sio hawa singo mazaa wanaotokwa povu jingi
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Hebu subiri, shida yako mapenzi ya dhati au kuombwa pesa? Kuombwa pesa hakuhusiani na mapenzi ya dhati. Maana anaweza asikuombe pesa na akawa hana mapenzi ya dhati na wewe kabisa!!
Dogo umechanganya mambo hapo, ungesema hivi "wanawake masikini wanaomba sana pesa kuliko wanawake matajiri"
Kweli akili zenu hatuwez kuzielewahuwezi kuelewa akili ya mwanaume.
kama unakuja magetoni deile kutimiziwa haja zako na unarudi kwenu bila kuntangazia shida zako, yaan ww unataka kukitwa tu, basi hapo wanaume tunasema umenikubali na hayo ndo mapenzi ya dhati.
huwezi kuelewa akili ya mwanaume.
Well saidMngekuwa na akili na mnajielewa kama mnavyojiaminisha basi hii dunia ingekuwa mahala salama sana pa kuishi.
haya, nitumie hela ya taxiNjoo bas leo
Ndo maana mimi huwa nawatumia kama magodoro nalalia na kutupa hasa hawa wenye njaa njaakabisa mkuu. unakuta boya linajisifia mi nahudumia kumbe dem kashatuma mesej za kuombaomba elf kumi kwa wanaume kama kumi akija kutumiwa na wote kashaokoteza laki moja. yani ghafla aka kadem kanatengeneza sinking fund.
balaa.
sasa nitafua hizo nguo na nini? au nitaogaje? muwe mnajiongeza jamanKwani na wewe huwa unaomba hela ya "sabuni" mkuu? Siku hizi nafikiri wanaiita hela ya salon.Sijui hao wadada huwa mpaka wakitoka kwenye starehe za kimwili ndio wanapandwa na ashiki ya kutengenezwa nywele au huwa ni tozo ya tendo wanalipisha indirectly?
ahahaha uzuri sikuwezi bhana niacheMbona hapo nimeona umetoa povu zaid ya omo