Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

hahahahahah kumbe wanaleta wenyewe? na walete tu hakuna namna
nimekupata mkuu
 
Tuliza mshono singo maza dawa ikuingie vizur

Mimi kaz zangu nimeweka wafanyakaz wa kila umri kwahiyo usishangae kuniona online kila saa

Alaf nina hela nyingi za kununua bando ndo maana nakua online mda wote
 
Hilo sio tatizo, wewe ndio tatizo mdogo wangu, maana umeparamia mambo yaliyokuzidi umri. Ila ungekuwa mkubwa ungetambua kuwa hayo ni majukumu yako ya kawaida tu dogo.

MBITIYAZA hebu njoo huku tusaidiane kumlea huyu mtoto wetu.
Umekosea kumuita huyo sister espy mambo gan sasa umefanya
 
hahahahahah kumbe wanaleta wenyewe? na walete tu hakuna namna
nimekupata mkuu
1. wanaume ni wachache
2. kati ya hao wachache ni wachache wana nguvu za kiume
3. kati ya hao wachache wenye nguvu kuna wachache wanaojua mapenzi

kwa jinsi idadi inavozidi kushuka unaona kabisa wanaume wenye uwezo wao wapo wachache.
sasa mwanamke unabahatika kupata mwanaume mwenye mauwezo yake, kitu adim kabisa, unaleta tabia za kuombaomba hela wakati wenzako wanalialia kuwa na mimi?
yani wenzako wanasema I want nothing but love from you, wewe unasema I want love n money too?

asalale.
 
hahahahahahah hizi akili za siku hizi jamani duuuh
asante nimekuelewa mkuu
 
hahahahahahah hizi akili za siku hizi jamani duuuh
asante nimekuelewa mkuu
Kwani na wewe huwa unaomba hela ya "sabuni" mkuu? Siku hizi nafikiri wanaiita hela ya salon.Sijui hao wadada huwa mpaka wakitoka kwenye starehe za kimwili ndio wanapandwa na ashiki ya kutengenezwa nywele au huwa ni tozo ya tendo wanalipisha indirectly?
 
Jombaa hawa wanawake ni magodoro ya kulalia, unalaila leo kesho unatupa unachukua jingine
 
Naona umeanza matus badala ya hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…