Shida yangu ni mapenz ya dhat sipend kuombwa hela na kufanywa kitegauchumi kwa mgongo wa mapenzHebu subiri, shida yako mapenzi ya dhati au kuombwa pesa? Kuombwa pesa hakuhusiani na mapenzi ya dhati. Maana anaweza asikuombe pesa na akawa hana mapenzi ya dhati na wewe kabisa!!
Dogo umechanganya mambo hapo, ungesema hivi "wanawake masikini wanaomba sana pesa kuliko wanawake matajiri"
Mkuu mbona unakwepa tenaKwa mwenye njaa chochote kwake ni heri
Japo hatakipenda lakini hana namna nyingine
Unadhani simba anapozidiwa hupenda kula nyasi....au njaa ndio sababu?
Ni shemej yangu huyo mweleze ukweli huwa ananisumbua sana aisee mpe darasahuwezi kuelewa akili ya mwanaume.
kama unakuja magetoni deile kutimiziwa haja zako na unarudi kwenu bila kuntangazia shida zako, yaan ww unataka kukitwa tu, basi hapo wanaume tunasema umenikubali na hayo ndo mapenzi ya dhati.
huwezi kuelewa akili ya mwanaume.
Mkuu mbona unakwepa tena
Nimekuuliza kwahiyo masikin hufanya mapenz kama kitega uchumi?
Je uhawah kumuona simba akila nyas au maneno ya vijiwen na wahenga
Ndio kutokujielewa huko.Hatujielewi sasa kwa nini kutwa tunawavua vyupi?
siwaelewagi madem wa hivyo, dem wa kishua anakuletea hadi mashuka mapya, siku nyingine na mboga kabisa anakuja nayo ili mpike. sasa hawa akina mwajuma ndalandefu sasa, vikija vinakaa kitandani kupika havitaki vinataka ukavinunulie chipsi mayai.Huyo jamaa hata mimi nimeuliza lakin hajanijibu
Ina maana masikin anafanya mapenz kama kitega uchumi
mi naona wewe ndo hujielewi unaesoma kila siku topics za boys humu na bado unakubali kubanduliwa angali wajua sisi ni wapigaji tu.Ndio kutokujielewa huko.
Mkuu hiyo ndoa kafunge weweNyinyi vijana acheni utapeli
Mapenzi ya dhati wala hamuelewi maana halisi
Badala ya kulegeza muowe if at all mnamaanisha
Huo ni upuuzi wa kijinga eti ya dhati......kivipi?
Kafunge doa
wanaume wenye hela zao wanaendelea kuwa na hela zao kwasababu hawagawi kishamba.wanaume wenye ela zao,hawaropoki wala kulalamika lalamika ovyo kama wavulana hohe hahe.
wa mkoani ndo matatizo kabisa, dem unampa nauli ya kutosha na hela ya vocha ila akifika kwao anakubipu. asalale.Hao watakuwa wanawake wa Dar,mikoani huku fresh tu
Kaimba nonini kama cjakoseaKuna nyimbo ya jamaa wa kenya nimesahau jina lake asema siewenyewe tunashida tusikie zako zanini ruka juu banjuka tu