Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Shida yangu ni mapenz ya dhat sipend kuombwa hela na kufanywa kitegauchumi kwa mgongo wa mapenz

Mwana mke anayekupenda hawez kukaa anakuomba pesa kishamba shamba utampa utakapopata
 
Kwa mwenye njaa chochote kwake ni heri

Japo hatakipenda lakini hana namna nyingine

Unadhani simba anapozidiwa hupenda kula nyasi....au njaa ndio sababu?
Mkuu mbona unakwepa tena

Nimekuuliza kwahiyo masikin hufanya mapenz kama kitega uchumi?

Je uhawah kumuona simba akila nyas au maneno ya vijiwen na wahenga
 
Ni shemej yangu huyo mweleze ukweli huwa ananisumbua sana aisee mpe darasa
 
Mkuu mbona unakwepa tena

Nimekuuliza kwahiyo masikin hufanya mapenz kama kitega uchumi?

Je uhawah kumuona simba akila nyas au maneno ya vijiwen na wahenga

Hujaelewa nini?

Ukiambiwa simba akidiwa hula nyasi tafsiri halisi kimaudhuwi inamaanisha nini

Unaelewa unachouliza? Au unaandika tu ilimradi
 
Huyo jamaa hata mimi nimeuliza lakin hajanijibu

Ina maana masikin anafanya mapenz kama kitega uchumi
siwaelewagi madem wa hivyo, dem wa kishua anakuletea hadi mashuka mapya, siku nyingine na mboga kabisa anakuja nayo ili mpike. sasa hawa akina mwajuma ndalandefu sasa, vikija vinakaa kitandani kupika havitaki vinataka ukavinunulie chipsi mayai.
pumbaf sana.
 
Kunamoja alitaka kuniretea magojwa ya moyo akianza tu sms nikwambie kitu juwa bom hiro harafu huwa wanajisahau sana paka unakuta mda wotee anazungumzia shida zake tu kuriko mapenzi wakati mwingine unamkubaria ili avuwe chupi umrambe vi 2 asepe nashida zake mbere kwa mbere madem masikini pasuwa kichwa kiujumla wanawake wasio nashuguri sio atakuzeesha
 
Nyinyi vijana acheni utapeli

Mapenzi ya dhati wala hamuelewi maana halisi

Badala ya kulegeza muowe if at all mnamaanisha

Huo ni upuuzi wa kijinga eti ya dhati......kivipi?

Kafunge doa
Mkuu hiyo ndoa kafunge wewe

Nan afunge ndoa na mademu omba omba wasiojielewa wakinifilis
 
Kuna nyimbo ya jamaa wa kenya nimesahau jina lake asema siewenyewe tunashida tusikie zako zanini ruka juu banjuka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…