mkuu unasema nipewe kaz bila malipo kwahiyo mademu wakijaga gheto kupigwa miti hiyo ndo kaz yaoWe jamaa VP ungekuwa ww upewe kazi bila malipo ungejisikiaje acha kuwachambua mademu zako,au kwa sababu huna pesa ya kuwapa?usiwanenee mabaya cyo vyema
Msichoke jamani ndio uanaume huo. Na hapo ndio mwanzo tu mdogo wangu, yaani bado ndio asubuhi. Hivyo anza kujiandaa kisaikolojia kabisa.Umri wap sister njaa zitawaua nyie wavaa mawigi ya kunuka
Wambie na wenzako tumechoka na njaa njaa zenu
Sisi sio wazazi wenu
Usijali ipo siku utaelewa tu. Kwa sasa sio kosa lako.umri umekuwaje hapa mbona unataka kuhamisha mada punguzen njaa
Hawa watu wanazingua sana mkuu ngoka leo tuwachane ukweli
Pm kutafuta nini?Sema tarehe mbaya hizi ningekuja pm
nakupenda bule.Ukishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
Pm ndo itapendeza huwez jua ya keshoPm kutafuta nini?
Toka lini mwanaume akajiita baby...nyie mmezoea vitonga hamna lolote. Ndio muache kupenda vitonga,mtaolewaHakuna wa kupanik hapa lazima mnyoke hakuna cha bure hapa
Jitafutien na nyie za kwenu sio kuwa maomba omba
See. Mariooo on Fleek. Acheni kupenda vy bure...mtaolewabwana wa nini wakati mamaako anamek it rain [emoji5]
Chukua soda kwa mangi nitakuja kulipaToka lini mwanaume akajiita baby...nyie mmezoea vitonga hamna lolote. Ndio muache kupenda vitonga,mtaolewa
Hela siye tunazo za kwetu na nyie tafuten za kwenu muache uomba ombaMarioooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupenda bure bure,mtaolewa. Kama unapenda sana ela sema utafutiwe bwana.
acha kutongoza mpaka upate mkwanja dogo....hakuna vya bule...wewe mwenyewe njaaaa ndo mana unatafuta wenye hela.Acha miyeyusho sister kula kona hapa hakuna hela za bure bure njaa mpelekee mzazi wako
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] ndugu ukiona mwanaume anajiita baby boy kimbia mguu kisogoni.Chukua soda kwa mangi nitakuja kulipa