Thatβs it kila mtu ana kiwango chake cha kupima uzuri wa mtu au kituWengi hawalijui hili.
Kuna mtu anakwambia daah mwanangu nimekutana na pisi moja kali sana, ngoja nikuoneshe picha.
Ukiiona unabaki kuduwaa, huyu jamaa kaelewa nini kwa huyu manzi.
Kama Mtoto halali na hela anavyokodoa macho kwakoThatβs it kila mtu ana kiwango chake cha kupima uzuri wa mtu au kitu
Kuna jamaa alihaha kutuaminisha dem wake ni mzuri ila ndo ivo wana tukamkataa, jamaa alihuzunika sanaThatβs it kila mtu ana kiwango chake cha kupima uzuri wa mtu au kitu
HahahaNjoo Arusha uone pisi Kali zinatembeza soksi, mitumba na ndizi.
Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Kwa nini unafikiri kila mdada anapaswa au anataka kuhudumiwa na boyfriend?Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?
Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??
Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
DuuhWengine unakuta ni malaya kinoma,ila wana maisha magumu,simu mbovu,taiti imetoboka,na muda unampelekea moto,unakuta kuna wanaume wengine wanapiga simu au kutuma meseji,wanataka wakamfanyie MATUSI.
Kuna mmoja niliwahimwambia au hujifanyiagi tathmini,maana naona nimekuchunguza nikakuta una wanaume wengi,ila una maisha magumu,mi nilikua nakupa pesa na mahitaji mwngine,lakini naona kama hujielewi,unapigwapigwa tu,sasa sijui ni mimi tu ndo nakugharamia?
Kwakweli kichwa kisicho na akili ni mzigo unaofanya sehemu za siri ziumie.
Naremboni kiongozi ππ heri ya mwaka mpya MkuuMabinti wa kimeru hao akuna mwanaume makini anaweza poteza muda nao
Umesema kiukali sana kiongoziHuwaga pesa sio wengi wanazo elewa hivo, wanawake wazuri ni wengi kuliko wanaume wenye pesa.....elewa hivo hivo. Pesa sio nywele kila mtu anazo.
Ni kweli uliojificha ila ukifunuliwa upo wazi kiongoziUmesema kiukali sana kiongozi
Kwaio tuseme ni mtoto kautakaNi kweli uliojificha ila ukifunuliwa upo wazi kiongozi
Ni mokitolema π π πKwaio tuseme ni mtoto kautaka
HahahNi mokitolema π π π
Hii niliiona sana.... Doohh.... HatarizzzNjoo Arusha uone pisi Kali zinatembeza soksi, mitumba na ndizi.
Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
π na kwako pia mkuuNaremboni kiongozi ππ heri ya mwaka mpya Mkuu