Wengine unakuta ni malaya kinoma,ila wana maisha magumu,simu mbovu,taiti imetoboka,na muda unampelekea moto,unakuta kuna wanaume wengine wanapiga simu au kutuma meseji,wanataka wakamfanyie MATUSI.
Kuna mmoja niliwahimwambia au hujifanyiagi tathmini,maana naona nimekuchunguza nikakuta una wanaume wengi,ila una maisha magumu,mi nilikua nakupa pesa na mahitaji mwngine,lakini naona kama hujielewi,unapigwapigwa tu,sasa sijui ni mimi tu ndo nakugharamia?
Kwakweli kichwa kisicho na akili ni mzigo unaofanya sehemu za siri ziumie.