Wadada Wenye shepu na sura nzuri, ila wanaishi maisha magumu, najiuliza wana boyfriends wa aina gani?

Wadada Wenye shepu na sura nzuri, ila wanaishi maisha magumu, najiuliza wana boyfriends wa aina gani?

Wengine unakuta ni malaya kinoma,ila wana maisha magumu,simu mbovu,taiti imetoboka,na muda unampelekea moto,unakuta kuna wanaume wengine wanapiga simu au kutuma meseji,wanataka wakamfanyie MATUSI.
Kuna mmoja niliwahimwambia au hujifanyiagi tathmini,maana naona nimekuchunguza nikakuta una wanaume wengi,ila una maisha magumu,mi nilikua nakupa pesa na mahitaji mwngine,lakini naona kama hujielewi,unapigwapigwa tu,sasa sijui ni mimi tu ndo nakugharamia?
Kwakweli kichwa kisicho na akili ni mzigo unaofanya sehemu za siri ziumie.
 
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Kwa nini unafikiri kila mdada anapaswa au anataka kuhudumiwa na boyfriend?
 
Wengine unakuta ni malaya kinoma,ila wana maisha magumu,simu mbovu,taiti imetoboka,na muda unampelekea moto,unakuta kuna wanaume wengine wanapiga simu au kutuma meseji,wanataka wakamfanyie MATUSI.
Kuna mmoja niliwahimwambia au hujifanyiagi tathmini,maana naona nimekuchunguza nikakuta una wanaume wengi,ila una maisha magumu,mi nilikua nakupa pesa na mahitaji mwngine,lakini naona kama hujielewi,unapigwapigwa tu,sasa sijui ni mimi tu ndo nakugharamia?
Kwakweli kichwa kisicho na akili ni mzigo unaofanya sehemu za siri ziumie.
Duuh
 
Back
Top Bottom