Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Yote ni kukosa kazi tafuta kazi za kufanya
 
UNAIBAAA WABABA WA WATU SANA HUMU, WANAKUUNDIA TUME WEWE WAUCHOME MOTO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mieee, sasa hiyo Tume ijipangee haswaaaah, tena naisubiri kwa hamu mnoo, mbna km inachelewa au niwasaidie mbinu ya kuunda fastaaaaa??

Wakuje wakujee nawasubiriiiiiiii, wasisahau kuja na vyeti halali vya ndoa zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Kama unamjuaa mtaje, avimbe kichwa akisikieee🏃🏃🤣
 
Unique Flower
Wee shost lete hiyo list sasa, mwenzio huku chimbo kuna ubuyuu wa motooo naufuatiliaaa, na huu wa kwako sitaki unipiteeee.

Ntakufaaa miguu nimenyoosha juu, sio kwa heka heka hizi, mweeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mmeanza tena!! Haya piganeni sasa.
Ninacho kiona humu.. jf asilimia kubwa watu wapendao chini.. sio Me wala KE.. hili jukwaa watu wanapenda sana hayo mamboo.. ushahidi fatilia mabandiko na idadi ya wachangiaji.. humu watakatifu tupo wachache sanaaa

Glenn njoo ubebe kondoo wako huku asipotee
 
Ninacho kiona humu.. jf asilimia kubwa watu wapendao chini.. sio Me wala KE.. hili jukwaa watu wanapenda sana hayo mamboo.. ushahidi fatilia mabandiko na idadi ya wachangiaji.. humu watakatifu tupo wachache sanaaa

Glenn njoo ubebe kondoo wako huku asipotee
Siamini umejiondoa kwenye list🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom