Wadada wenzangu hii sio poa

Yote ni kukosa kazi tafuta kazi za kufanya
 
UNAIBAAA WABABA WA WATU SANA HUMU, WANAKUUNDIA TUME WEWE WAUCHOME MOTO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mieee, sasa hiyo Tume ijipangee haswaaaah, tena naisubiri kwa hamu mnoo, mbna km inachelewa au niwasaidie mbinu ya kuunda fastaaaaa??

Wakuje wakujee nawasubiriiiiiiii, wasisahau kuja na vyeti halali vya ndoa zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unamjuaa mtaje, avimbe kichwa akisikieee🏃🏃🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mmeanza tena!! Haya piganeni sasa.
Ninacho kiona humu.. jf asilimia kubwa watu wapendao chini.. sio Me wala KE.. hili jukwaa watu wanapenda sana hayo mamboo.. ushahidi fatilia mabandiko na idadi ya wachangiaji.. humu watakatifu tupo wachache sanaaa

Glenn njoo ubebe kondoo wako huku asipotee
 
Siamini umejiondoa kwenye list🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…