Yani mwenzao katoa msaada kwa huruma zake halafu wanamtukana bure daaah.Hivi inakuaje mtu huna shukrani jamani
Hapana aisee mtu wa hivyo kichambo pia kinamhusu
Alete woteeeee
NakupendaHumu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .
Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.
Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.
Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .
Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.
Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.
Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Aaaaah kukichafuka itabidi apambane tu mwenyewe kwa kweli.. nyuzi zake zinaonyesha kama kuna kitu hakiko sawa na mwenyewe hajui anaona yuko Sawa tuNinauhakika hali ikichafuka mtamkimbia[emoji1787][emoji1787]
Kiukweli sijawahi kuelewaga nyuzi za huyu ndugu mwananchi Kwa asilimia 100
Watakatifu wenzio kina nani mkuu? Nataka mtakatifu mmoja anigawie upakoNinacho kiona humu.. jf asilimia kubwa watu wapendao chini.. sio Me wala KE.. hili jukwaa watu wanapenda sana hayo mamboo.. ushahidi fatilia mabandiko na idadi ya wachangiaji.. humu watakatifu tupo wachache sanaaa
Glenn njoo ubebe kondoo wako huku asipotee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyie humu mmezidi madhambiii aiseee.. hela watu hawana ila wao wanawaza matusi tu na kuchepuka na kuibiana kha! shetani mwenyewe anawaogopa
Yaan achaa dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sielewi hata nikae wapi uwiiiiih[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio hivyo🤣🤣Eti BJ kama kibogoyo
Sidhani kama anafit hapo...twende mbali kidogo hata kwenye afya ya akili...😎Attention seeker
watu wa humu nahisi wanapenda kweli matusi kuliko hela yani wanapenda starehe za mapenzi kuliko hela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu achana na wazinifu wa humu kwanza!!
Ule mchongo niliokutuma umefikia wapi?
Kwenye afya ya akili ndo kwenyewe hapo. Angekua anaumwa magonjwa mengine tungesema mgonjwa alipofikia tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu maana hali yake ya ugonjwa ni mbaya kabisaSidhani kama anafit hapo...twende mbali kidogo hata kwenye afya ya akili...[emoji41]
Kwahiyo kiroho chako kwatuuuu kuona tunachambwa🤣🤣🤣Hiki kichambo Cha wanawake wote humu..😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah wee dear nifundisheee bas.Ndio hivyo[emoji1787][emoji1787]
Ehee unamnasa bj nzito sana mpka apoteze kumbukumbu Kwa muda..akija kustuka ni kukuulizia “babe kumbe ulivunjika meno Kwa muda”
[emoji28][emoji28]Pumbavu kabisa bj
haji tambui.Na akuheshimu wewe? Na I'd fake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee ndo mnazidi kumvurugaaa dada Maua.Sidhani kama anafit hapo...twende mbali kidogo hata kwenye afya ya akili...[emoji41]
Mie hapa ni mtakatifu nisie na mawaa wala makuu.. sema unataka upako wa aina gani .. wengine hawajanipa ruhusa kuwatajaWatakatifu wenzio kina nani mkuu? Nataka mtakatifu mmoja anigawie upako
Attention seeking ni tatizo la afya ya akili...Sidhani kama anafit hapo...twende mbali kidogo hata kwenye afya ya akili...😎
Kabisa anatafuta fake heshima kwa fake ID? Mjinga sanahaji tambui.
Na mimi naungana na wewe na unachokiona.Ninacho kiona humu.. jf asilimia kubwa watu wapendao chini.. sio Me wala KE.. hili jukwaa watu wanapenda sana hayo mamboo.. ushahidi fatilia mabandiko na idadi ya wachangiaji.. humu watakatifu tupo wachache sanaaa
Glenn njoo ubebe kondoo wako huku asipotee
Si huyo Mnaija ndio kazi yenyeweee 😎 😎🤣🤣🤣🤣
Bichwa lako, mnaijeria wa wapi? Mie nilikutuma unitafutie kazi niachane na ujobless.