Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

KWenye mambo ya msingi, ukishaweka wanawake na wao washiriki tu na wakawa zaidi ya mmoja. Lazima mambo yaende kombo. Naona JF sasa ina wanawake na wameanza kuleta mambo yao.
Nachelea kusema mwanamke ni virus kwenye dunia sawa na virus kwenye computer au simu janja
TATIZO ELIMU, UMASKINI WA MATUMIZI MAbaya YA AKILI ZAO.. KUNA WANAWAKE KWA MABINTI HUMU NDANI WAPO VERY SMART HADI RAHA.. NILISHA BAHATIKA KUKUTANA NA KADHAA NA MMOJA WAO NI MKURUGENZI WA IDARA FLANI HUWEZI MKUTA KWENYE MISUTO NA KASHI KASHI KAMA ZA WAHUNI FLANI... NAOMBA WASINIHARIBIE NA KADOGO KANGU KA Pellaiah
 
Amtag vip mtu am aye hausiki We Furahia ya wenzio lako laja ukiteleza kidogo tu umooo🤣🤣🤣
Namalizia na hitimisho
Hitimisho au vitisho?😅

Kuwa na huruma we Mwanamke
 
Yaani mimi nipo hapa alafu unatukanwa kisa Wanaume wasio jielewa njoo kwa 92 nikufute machozi😂😂😂😂😂😂😂😂
 
TATIZO ELIMU, UMASKINI WA MATUMIZI MAbaya YA AKILI ZAO.. KUNA WANAWAKE KWA MABINTI HUMU NDANI WAPO VERY SMART HADI RAHA.. NILISHA BAHATIKA KUKUTANA NA KADHAA NA MMOJA WAO NI MKURUGENZI WA IDARA FLANI HUWEZI MKUTA KWENYE MISUTO NA KASHI KASHI KAMA ZA WAHUNI FLANI... NAOMBA WASINIHARIBIE NA KADOGO KANGU KA Pellaiah
Pellaiah ni mdudu flani mwenye akili sema wengi hamuelewi
 
yuniq toa hio picha kwenye avator haiendani nawewe kishundu chenyewe huna unamiliki flat cren.halafu unataka uhongwe gari unaakili kweli wewe?juu minyonyo debe chini ngongingo.pole sana hunahazi yakujengewa nyumba utaishia kupanga vyumba hivyo hivyo viwili nakupanda bodaboda chizi wee.

Hatimae umeamua kujitokeza mwenyewe eeeh?😂😂

Uzi ufungwe huu, upelelezi umekamilika.
 
Halafu sijui kwanini wanawake wazuri sn kwa shape,sura n.k huwa hawanaga akili.Kuna mmoja huku Namtumbo ni mzuri jamani but akili hewa kabisa
Chakula kingi na Energy kubwa ya mwili inatumika kuyalisha na kuyamaintain matako badala ya ubongo
 
Mvua inanyesha ukalime acha umbea dogo langu[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umbeaaa nakosajeee sasa?? Niko chimbooo hapa napataaa udakuui mwingneeee, mtu na rafiki ake wameibiana bwanaaa, kilanga komooo,

Walienda club ku slay cha ajabu bwana akatoka na rafik yakee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yuniq toa hio picha kwenye avator haiendani nawewe kishundu chenyewe huna unamiliki flat cren.halafu unataka uhongwe gari unaakili kweli wewe?juu minyonyo debe chini ngongingo.pole sana hunahazi yakujengewa nyumba utaishia kupanga vyumba hivyo hivyo viwili nakupanda bodaboda chizi wee.
Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
 
Back
Top Bottom