Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Daah mdudu huwa nawakatia watu ninaowaelewa mama.Hivi kwanini uliitwa mdudu eti?
Ni casual style flani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah mdudu huwa nawakatia watu ninaowaelewa mama.Hivi kwanini uliitwa mdudu eti?
Sawa mduduKaa karibu na ua mama mdudu sugu🤣
🤣🤣Huruma gan uitakayo wew zaid ya ile ulioipata kutoka kwa bwana yesuHitimisho au vitisho?😅
Kuwa na huruma we Mwanamke
code ya wahuni hiyoo.. usifatilie utaharibikiwaHivi kwanini uliitwa mdudu eti?
Hapana kwakweli asanteIkikunyeshea sema asante mama🤣🤣
Acha uongoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umbeaaa nakosajeee sasa?? Niko chimbooo hapa napataaa udakuui mwingneeee, mtu na rafiki ake wameibiana bwanaaa, kilanga komooo,
Walienda club ku slay cha ajabu bwana akatoka na rafik yakee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
tuachane nahayo vipi mama mkwe hajaondoka nikutumie nauli uje tuinjoi?Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana mileleTATIZO ELIMU, UMASKINI WA MATUMIZI MAbaya YA AKILI ZAO.. KUNA WANAWAKE KWA MABINTI HUMU NDANI WAPO VERY SMART HADI RAHA.. NILISHA BAHATIKA KUKUTANA NA KADHAA NA MMOJA WAO NI MKURUGENZI WA IDARA FLANI HUWEZI MKUTA KWENYE MISUTO NA KASHI KASHI KAMA ZA WAHUNI FLANI... NAOMBA WASINIHARIBIE NA KADOGO KANGU KA Pellaiah
Wewe ni mwehu Huna akili unadhani unanitusi halafu ulete upuuzi wako tu chai acha bangi wewe mpuuzi mie sio Malaya uliowazoea unawatishia wanakuja harakatuachane nahayo vipi mama mkwe hajaondoka nikutumie nauli uje tuinjoi?
Ni members huku? Mambo ni mengi sana aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umbeaaa nakosajeee sasa?? Niko chimbooo hapa napataaa udakuui mwingneeee, mtu na rafiki ake wameibiana bwanaaa, kilanga komooo,
Walienda club ku slay cha ajabu bwana akatoka na rafik yakee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ghafla mhh ngoja tytulie tutazid kuona mengiHumu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .
Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.
Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.
Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .
Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.
Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.
Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
I second you, ukijua kausha kama hujui sababu ukimuuliza tuu akakubali unakuwa kama umehalalisha ataanza kuhudumia bila kificho, watawasiliana kwa uhuru since hana cha kukuficha na kuogopa tena.Inatoka wapi?[emoji23] wazalishane watajua wenyewe. Tena wadada kuna code mpya ntawapa ila wababa wasijue. Kidokezo tu ni kwamba ukijua amezaa nje usimuulize unakua umempa urahisi wa kujielezea. Mambo ni mengi mda mchache. Michepuko mtajua pa kwenda ila majumbani wanarudi kuja kula tena kwa bashasha[emoji23]
Waeleze mama.Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana milele
#LeoNimekuaSerious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijahatimisha, nimesema kuna walio smart sana humu na wapo walio makasha 🙂 🙂 🙂Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana milele
#LeoNimekuaSerious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]