Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwaKumbe JF ina wakongwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwaKumbe JF ina wakongwe?
Huamini tu, mie bonge la saint kuliko Saint Anne 😀😀Wewe ukiwa mtakatifu mimi nitabatizwa kuwa malaika😂😂😂
Mariposa za siku ?Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwa
Hakika unajua ninakukubali hadi naumwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini unapenda kunichafua lakini!!!
Wengi wanadhani timbwili ndo tiba. Ukimkuta mume mwenyewe naye zimeruka basi kazi inaishia hapo na ndo anahamia kwa huyo mwanamke. We ukishajua tu kwamba kalikoroga ukijifanya kuuliza ndo unampunguzia ile presha ya kuja kukwambia. Mwache apagawe na kihoro chake kwamba anamletaje mtoto kwa mkewe. Na kweli unavyosema ndo atamuhudumia very freely. Yani kuna mda busara ni mara mia kuliko nguvu.I second you, ukijua kausha kama hujui sababu ukimuuliza tuu akakubali unakuwa kama umehalalisha ataanza kuhudumia bila kificho, watawasiliana kwa uhuru since hana cha kukuficha na kuogopa tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile tread yako ilikutambulisha bila shaka🤣🤣Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae dada maua, khaaaah unaelewa lakini?Acha uongoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mji wa motooooo huu.Ni members huku? Mambo ni mengi sana aiseee
Hakuna inifaayo toka kwako?🤣🤣Huruma gan uitakayo wew zaid ya ile ulioipata kutoka kwa bwana yesu
Vizee ambavyo havitaki kuzeeka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwa
Au neno yutong😅Tena cheka Kwa sauti ya juu.
Hee umenistua kweli
Na kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana milele
#LeoNimekuaSerious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wachukueeeee somooooooo.Wengi wanadhani timbwili ndo tiba. Ukimkuta mume mwenyewe naye zimeruka basi kazi inaishia hapo na ndo anahamia kwa huyo mwanamke. We ukishajua tu kwamba kalikoroga ukijifanya kuuliza ndo unampunguzia ile presha ya kuja kukwambia. Mwache apagawe na kihoro chake kwamba anamletaje mtoto kwa mkewe. Na kweli unavyosema ndo atamuhudumia very freely. Yani kuna mda busara ni mara mia kuliko nguvu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaa Jf ni ya motoooooo.Na kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.
Mwingine alikuwa rafiki kwa muda mrefu zamani sana namfahamu kwa pics bahati mbaya baadae nikajua ID yake ya JF aliscreenshot kitu akareveal ID bila kujua yaani mambo anayoandika humu na alivyo ni tofauti kabisa.
Kwanza kutwa kuwaponda kina dada humu anajikuta someone matawi wakati mshamba balaa.
Basi watu wanamsifiaga me nawachora tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidanganyiki🤣🤣🤣Hakika unajua ninakukubali hadi naumwa🤣🤣🤣
Hapo kwa ID tatu kuwa zangu umenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijahatimisha, nimesema kuna walio smart sana humu na wapo walio makasha 🙂 🙂 🙂
Najua humu kuna watu vichwa sana na makasha yapo kwa sanaaa tu kuna kila aina ya ubongo humu...
humu si tunakuja ondoa stress, sio pakuumiza sana akili kwa waja wa humu unaweza umia kichwa kumbe mtu anaondoa stress zake... huyo mwenye ID tatu si ndi wewe.. hujisemi tu kwakua hupendi kiki... si kama Bishanga enzi hizoo 😀😀😀