Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

I second you, ukijua kausha kama hujui sababu ukimuuliza tuu akakubali unakuwa kama umehalalisha ataanza kuhudumia bila kificho, watawasiliana kwa uhuru since hana cha kukuficha na kuogopa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wanadhani timbwili ndo tiba. Ukimkuta mume mwenyewe naye zimeruka basi kazi inaishia hapo na ndo anahamia kwa huyo mwanamke. We ukishajua tu kwamba kalikoroga ukijifanya kuuliza ndo unampunguzia ile presha ya kuja kukwambia. Mwache apagawe na kihoro chake kwamba anamletaje mtoto kwa mkewe. Na kweli unavyosema ndo atamuhudumia very freely. Yani kuna mda busara ni mara mia kuliko nguvu.
 
Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana milele

#LeoNimekuaSerious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.
Mwingine alikuwa rafiki kwa muda mrefu zamani sana namfahamu kwa pics bahati mbaya baadae nikajua ID yake ya JF aliscreenshot kitu akareveal ID bila kujua yaani mambo anayoandika humu na alivyo ni tofauti kabisa.
Kwanza kutwa kuwaponda kina dada humu anajikuta someone matawi wakati mshamba balaa.
Basi watu wanamsifiaga me nawachora tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wanadhani timbwili ndo tiba. Ukimkuta mume mwenyewe naye zimeruka basi kazi inaishia hapo na ndo anahamia kwa huyo mwanamke. We ukishajua tu kwamba kalikoroga ukijifanya kuuliza ndo unampunguzia ile presha ya kuja kukwambia. Mwache apagawe na kihoro chake kwamba anamletaje mtoto kwa mkewe. Na kweli unavyosema ndo atamuhudumia very freely. Yani kuna mda busara ni mara mia kuliko nguvu.
Watu wachukueeeee somooooooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.
Mwingine alikuwa rafiki kwa muda mrefu zamani sana namfahamu kwa pics bahati mbaya baadae nikajua ID yake ya JF aliscreenshot kitu akareveal ID bila kujua yaani mambo anayoandika humu na alivyo ni tofauti kabisa.
Kwanza kutwa kuwaponda kina dada humu anajikuta someone matawi wakati mshamba balaa.
Basi watu wanamsifiaga me nawachora tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaa Jf ni ya motoooooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijahatimisha, nimesema kuna walio smart sana humu na wapo walio makasha 🙂 🙂 🙂
Najua humu kuna watu vichwa sana na makasha yapo kwa sanaaa tu kuna kila aina ya ubongo humu...

humu si tunakuja ondoa stress, sio pakuumiza sana akili kwa waja wa humu unaweza umia kichwa kumbe mtu anaondoa stress zake... huyo mwenye ID tatu si ndi wewe.. hujisemi tu kwakua hupendi kiki... si kama Bishanga enzi hizoo 😀😀😀
Hapo kwa ID tatu kuwa zangu umenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom