OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Anhaa 😅😅 Chakorii huna libaba umu jf??Acha wenge ndugu raia mwenzangu
Charokii ndio nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa 😅😅 Chakorii huna libaba umu jf??Acha wenge ndugu raia mwenzangu
Charokii ndio nini
Hee wewe mbona umeng’ang’ania sana ndugu yangu.libaba hilo vipi tenaAnhaa 😅😅 Chakorii huna libaba umu jf??
😳😳😳😳😳unazidi nishangaza ndugu yanguAu neno yutong😅
Jamani usifanye hivi bhana sio fresh chief🥺🥺🥺🥺yuniq toa hio picha kwenye avator haiendani nawewe kishundu chenyewe huna unamiliki flat cren.halafu unataka uhongwe gari unaakili kweli wewe?juu minyonyo debe chini ngongingo.pole sana hunahazi yakujengewa nyumba utaishia kupanga vyumba hivyo hivyo viwili nakupanda bodaboda chizi wee.
amezingua.Jamani usifanye hivi bhana🥺🥺🥺🥺
kwa hiyo na hao wakongwe wapo wanakazia huu uzi ?Tena ni wengi kuliko vijana, nilijionea sijahadithiwa
Naona mambo yako siyo mabayaHee wewe mbona umeng’ang’ania sana ndugu yangu.libaba hilo vipi tena
Najua..vunga kiume ndugu yangu sio sawa.amezingua.
Hey relax nduguNaona mambo yako siyo mabaya
kitulia tuta tulia.Najua..vunga kiume ndugu yangu sio sawa.
Mwache tu nakuomba.sikujui,simjui yeye lakin napataga huzuni sana kuona miandiko ya namna hii.
Please ndugu yangu
Atatulia ninaaminikitulia tuta tulia.
Hey acha hizi mambo sisy..Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Leo patanuka humu soonNa kuna wengine wanajifanya wana life fulani ambalo hawana. Nimebahatika kuwajua watu wawili na ID zao za jf. Mmoja namfahamu face to face namfahamu in out.
Mwingine alikuwa rafiki kwa muda mrefu zamani sana namfahamu kwa pics bahati mbaya baadae nikajua ID yake ya JF aliscreenshot kitu akareveal ID bila kujua yaani mambo anayoandika humu na alivyo ni tofauti kabisa.
Kwanza kutwa kuwaponda kina dada humu anajikuta someone matawi wakati mshamba balaa.
Basi watu wanamsifiaga me nawachora tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka nikuchokoze kidogoHey relax ndugu
we wahisi hivyo cool sana hapaHakuna inifaayo toka kwako?
Usiwe na makasiriko kama ya mleta uzi maisha mafupi haya😅
Jack wote hawajambo ila sijui wewe umemuuliza yupi kati yaoWaeleze mama.
Tunavyocheka hapa na kutania wanafikiri ni wapuuzi flani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi Jack wetu hajambo?[emoji1787]
Yule Mtutsi wetu🤣🤣🤣Jack wote hawajambo ila sijui wewe umemuuliza yupi kati yao