Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣TATIZO ELIMU, UMASKINI WA MATUMIZI MAbaya YA AKILI ZAO.. KUNA WANAWAKE KWA MABINTI HUMU NDANI WAPO VERY SMART HADI RAHA.. NILISHA BAHATIKA KUKUTANA NA KADHAA NA MMOJA WAO NI MKURUGENZI WA IDARA FLANI HUWEZI MKUTA KWENYE MISUTO NA KASHI KASHI KAMA ZA WAHUNI FLANI... NAOMBA WASINIHARIBIE NA KADOGO KANGU KA Pellaiah
Naanzaje kukuchora kwa mfanoNilijua unanichora tu
Sikukuu yangu ilikuwa bomba sana, location ili nibeba huku nikiitazama Congo karibu kabisa, na utalii wa viumbe adhimu na adimu Afrika hahaha wana wa PK.Mie nipo bomba mdudu
Sikukuu ukala ubwabwa mwenyewe
Ikikunyeshea sema asante mama🤣🤣Tangu lini baba mbona ghafla sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Hahahaa kama nakuona mwenyewe ulivyoenjoySikukuu yangu ilikuwa bomba sana, location ili nibeba huku nikiitazama Congo karibu kabisa, na utalii wa viumbe adhimu na adimu Afrika hahaha wana wa PK.
Utanitaka sasa🤣🤣
Nimeambiwa mie flat screen ila hajui vifaru wanavyodata ukiangaliaga asilimia kubwa flat screen kama siye tunanunuliwaga marange roverUnique Flower lina roho ya kizungu sema heka heka tu🤣
Hizi sasa code za wazee
Unafikiri mie ni makamo yako, nyie vitoto vya kuanzia 85++ mnataabu kweli kweli... angalia wasikuharibu wahuni sio watu wazuri🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mimi ni mdogo!! Hivi kwanini madogo mnapendaga ukubwa!!!
Kaa karibu na ua mama mdudu sugu🤣Hahahaa kama nakuona mwenyewe ulivyoenjoy
Asa si unipeleke na mie huko lokesheni nioshe macho
Wapi range rover, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeambiwa mie flat screen ila hajui vifaru wanavyodata ukiangaliaga asilimia kubwa flat screen kama siye tunanunuliwaga marange rover
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We kimbinyiko kwahiyo nimekuwa mdudu eeh!!🙆🙆🙆
Wacha bwana!!🤣🤣🤣Unafikiri mie ni makamo yako, nyie vitoto vya kuanzia 85++ mnataabu kweli kweli... angalia wasikuharibu wahuni sio watu wazuri
Hivi kwanini uliitwa mdudu eti?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka hadi nimebasti🤣🤣
leo nitapita na mtambo kukukaguaWacha bwana!!🤣🤣🤣
Sikiliza na wewe usiwe mnyonge.Nimeambiwa mie flat screen ila hajui vifaru wanavyodata ukiangaliaga asilimia kubwa flat screen kama siye tunanunuliwaga marange rover