Wadada wenzangu hii sio poa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mimi ni mdogo!! Hivi kwanini madogo mnapendaga ukubwa!!!
 
Mie nipo bomba mdudu

Sikukuu ukala ubwabwa mwenyewe
Sikukuu yangu ilikuwa bomba sana, location ili nibeba huku nikiitazama Congo karibu kabisa, na utalii wa viumbe adhimu na adimu Afrika hahaha wana wa PK.
Utanitaka sasa🤣🤣
 
Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukuu yangu ilikuwa bomba sana, location ili nibeba huku nikiitazama Congo karibu kabisa, na utalii wa viumbe adhimu na adimu Afrika hahaha wana wa PK.
Utanitaka sasa🤣🤣
Hahahaa kama nakuona mwenyewe ulivyoenjoy

Asa si unipeleke na mie huko lokesheni nioshe macho
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo mimi ni mdogo!! Hivi kwanini madogo mnapendaga ukubwa!!!
Unafikiri mie ni makamo yako, nyie vitoto vya kuanzia 85++ mnataabu kweli kweli... angalia wasikuharibu wahuni sio watu wazuri
 
Nimeambiwa mie flat screen ila hajui vifaru wanavyodata ukiangaliaga asilimia kubwa flat screen kama siye tunanunuliwaga marange rover
Wapi range rover, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vimbau mbau popote mlipo mvimbeeerr, mmekumbukwaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…