Wadada wenzangu hii sio poa

Jamani usifanye hivi bhana sio fresh chief🥺🥺🥺🥺
 
Wewe Huna dudu unamiliki Bomba sio la maji mrija umepauka Huna hata hela Huna hadhi unasura kama visheti na umekomaa kama viatu vya Petro nani kakuambia nitaishi milele nyumba zakupanga unanijua sana eh basi unaishi kama ndege Huna makao
Hey acha hizi mambo sisy..
Unakoelekea ni kudhalilishwa.najua inaleta hasira lakini kuwa imara.
Usitukanane huku mitandaon mama….

Please
 
Leo patanuka humu soon
Ila humu ni ku fake tu niliweka uzi wa mschana anatafuta kazi maboss wote kimya mpaka yule binti akaenda kufanya kazi lodge kaenda siku mbili wateja wote wanamtaka (anavuti ndio) Binti imebidi aache kazi
 
Waeleze mama.
Tunavyocheka hapa na kutania wanafikiri ni wapuuzi flani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi Jack wetu hajambo?[emoji1787]
Jack wote hawajambo ila sijui wewe umemuuliza yupi kati yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…