naona Usha kua sawa.tatizo pombe zinakuchanganya hazikupendi.vipi leo unatoka wee mchaga?Naraha sana kuwachora watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona Usha kua sawa.tatizo pombe zinakuchanganya hazikupendi.vipi leo unatoka wee mchaga?Naraha sana kuwachora watu
Kumbe mnafahamiana?😂naona Usha kua sawa.tatizo pombe zinakuchanganya hazikupendi.vipi leo unatoka wee mchaga?
Nimehamua kujilipua wafee maana nawakera ngoja niwakereeTulia mtoto acha hizo hekaheka hapa ni mahali pa kufurahi
Halafu yeye hajui kama niliiona ID yake mpaka leo na ilikuwa miaka kama 6 nyuma. Anayejua naijua ID yake hana mambo ya kuanzisha nyuzi za kijinga achana na kuwaponda wanawake so hata akisoma atajua tuu yeye sio mhusika.Kwa style hii huu uzi utafika mbali sana aiseeh.
Hapo marafiki zako wakisoma hii comment lazima wakae chonjo, kila raia atahisi umempoint yeye[emoji23][emoji23]..!
tulia mkuu🤣🤣🤣Kumbe mnafahamiana?😂
Kama hunisikilizi usinitaje tena.Nimehamua kujilipua wafee maana nawakera ngoja niwakeree
Hivi unajua Kwa siku wananipm wanaume wangapi?? 20 x 31 x 12=ni ngapi ??naona Usha kua sawa.tatizo pombe zinakuchanganya hazikupendi.vipi leo unatoka wee mchaga?
Unaringa ukiitwa mie nawengi nawapanga mstari halafu hakuna ambaye hana gari ya maana wote wanayo hoteli tunazolala ni za maana Sasa upo??Kama hunisikilizi usinitaje tena.
Mimi hivyo vita sio size yangu....umenielewa?
kwahio sasaivi unaniona wakike mwenzio sio?Hivi unajua Kwa siku wananipm wanaume wangapi?? 20 x 31 x 12=ni ngapi ??
Ndio maana watu wanatukana humu ikiwemo wewe na flat screen yangu kinachokuwasha Nini?
Bora hata Mimi natingisha wako ni kitu mraba halafu hata la kukalia Hana
Halafu yeye hajui kama niliiona ID yake mpaka leo na ilikuwa miaka kama 6 nyuma. Anayejua naijua ID yake hana mambo ya kuanzisha nyuzi za kijinga achana na kuwaponda wanawake so hata akisoma atajua tuu yeye sio mhusika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waite waje haraka.Unaringa ukiitwa mie nawengi nawapanga mstari halafu hakuna ambaye hana gari ya maana wote wanayo hoteli tunazolala ni za maana Sasa upo??
Mkeo ni kitu miraba minne .kwahio sasaivi unaniona wakike mwenzio sio?
Wanasema fake it untill you make it. Ila JF wamezidi kufake sana mpaka ukifikiria maisha yako unajiona ni mpweke usiye na direction kabisa kumbe mara mia na wewe. Mtu anakwambia lete CV au mawasiliano PM unatuma halafu anakauka kimya kumbe nae jobseeker kama wewe tuu.Leo patanuka humu soon
Ila humu ni ku fake tu niliweka uzi wa mschana anatafuta kazi maboss wote kimya mpaka yule binti akaenda kufanya kazi lodge kaenda siku mbili wateja wote wanamtaka (anavuti ndio) Binti imebidi aache kazi
Kuna mtu hata boxer Hana anagohea Kwa mshikajiSema huku Jf kuna watu wanajikuta kuwa na life kubwa kumbe ni kawaida au pengine wanahitaji msaada kabisa.
Kwanza huku Jf si tulikubaliana kila mtu ana gari? Kasoro mimi tu😂😂
What????Wanasema fake it untill you make it. Ila JF wamezidi kufake sana mpaka ukifikiria maisha yako unajiona ni mpweke usiye na direction kabisa kumbe mara mia na wewe. Mtu anakwambia lete CV au mawasiliano PM unatuma halafu anakauka kimya kumbe nae jobseeker kama wewe tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyamaza tu naare body upo wapi lakini??Waite waje haraka.
Mimi huwa sigombani so sina msaada ktk hivyo vita sijui mlikoanzia