To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Oo jaman,sa mie ninaecheka na kila avatar si ndo nitauawa.Waambie humu tunachat tu...afu kama ni wake kwann uumie.Achana nao cute Unique Flower
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua kuikalia wapiii.wakati umeendekeza pesa mbele minyonyo imemwagika Kama vile unanyonyesha ndama.nakushauli toa hio avata weka picha yako ili watu wasihangaike kupoteza mda wao kwakoMkeo ni kitu miraba minne .
Halafu umeniambia Sina wezere asilimia 90 ya hao wanaoleta kwenye nyumba za kawaida maana hawajui kukaikalia vyema siye unaona tunaitwa Malaya tunajua kuikalia hadi wanadata wanachanganyikiwa
Mekuja mkuu
Nimehamua kufanya kweli Sasa sio kuwa nao hapana ila kila me humu nitakayechart naye nachart naye kimahaba kabisaOo jaman,sa mie ninaecheka na kila avatar si ndo nitauawa.Waambie humu tunachat tu...afu kama ni wako kwann uumie.Achana nao cute Unique Flower
Hahahaa mimi navuta BMW mpya tarehe za mwanzoni za mwezi january nipo namalizia na ujenzi site yangu Goba hapo[emoji23][emoji23][emoji23].Sema huku Jf kuna watu wanajikuta kuwa na life kubwa kumbe ni kawaida au pengine wanahitaji msaada kabisa.
Kwanza huku Jf si tulikubaliana kila mtu ana gari? Kasoro mimi tu[emoji23][emoji23]
Kwa mama kumsalimuUlikuwa wapi mkuu?
😂😂😂❤❤😘😘Nimehamua kufanya kweli Sasa sio kuwa nao hapana ila kila me humu nitakayechart naye nachart naye kimahaba kabisa
Mie najua unataka manyonyo mie Sina hayo makubwa kama yamkeo utazani nigoliati kajaza kifua kama muuza supu halafu mwanamke anaye nyanyua chuma??unajua kuikalia wapiii.wakati umeendekeza pesa mbele minyonyo imemwagika Kama vile unanyonyesha ndama.nakushauli toa hio avata weka picha yako ili watu wasihangaike kupoteza mda wao kwako
Sawa mdudu
Nisamehe sana Baba, nikikukuta nitashindwa kujizuia, hiyo dhambi nitatubu..!!Mara hii umesahau kumcheka daddy ako ni dhambi kubwa sana?😄😅
Jiongeze mduduSawa mdudu
Kwenda nawe? Wapi huko
Okee okeeeJiongeze mdudu
Mama angu hana mkwe plzAnaendeleaje mama mkwe wangu?
Vakasheni mwanangu vaa flat tuOkee okeee
Nivae viatu virefu au raba hiyo safari? 😂
Sawa mduduVakasheni mwanangu vaa flat tu
Hata wewe ni mdangaji kumbuka kazi unayoifanya ni maua alikuambia usipolala naye kazi Huna Kwa maana wewe ulikuwa wanakutegemea ukakubali Leo unakasimu na kabandi kamshahara wa mwalimu au kakarani upo busy kusema watu hata maua alidai wewe sio mtamu Wala hujui manjonjo unamwaga mwaga tu pasipi ushirikiano unadata mapema pasipo mchezo kuisha tunaitaga akili ya kuku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjini kuna mambo haya wadangaji katika kupambania kombe