Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #101
Sina mtu humu ndaniOooh kumbe umeambiwa tu? Achana na maneno ya kusikia zidisha mapenzi kwa huyo mpenzi wenu mpaka mchepuko mwenzio akili imkae sawa.
Kuchambana kisa wanaume mambo ya zamani sana shoga angu
Mkuu we acha tuπ€£π€£π€£ tunashinda tunasali tunasema eeh Baba, naomba Baba nanilii akiwa anatembea huko akiviona hivi vidada asihamie mazimaπ€£ msituone hivi tunasali sala ndefu vitoto ni vichawiii balaa vinashindwa kula kimyakimya vinataka vimtoe mama mwenye nyumba.πππ
Hivyo VITOTO VYA chuo ndio kiboko yenu wadada wakubwa na wale Wanawake mlioolewa.
Tena Ukute kinajua ushirikina
Mimi nimestop hadi kwenda kuoga πΉπΉMwaya Unique Flower hiyo siku hatukua hewani, tusamehe bure
Ila nakuhakikishia leo tuko bega kwa bega na wewe.
Hivyo hapa nilikua naenda sokoni ila nimesimama mahali nasubiria uwataje nikupambanie na sokoni siendi tena, huoni navyokujali?
Haya watajeeeeee
Mnamjua na ndio msuteniMimi nimestop hadi kwenda kuoga πΉπΉ
Unique Flower usitupotezee muda
Au tukuchambe wewe sasa π€£
ππMkuu we acha tuπ€£π€£π€£ tunashinda tunasali tunasema eeh Baba, naomba Baba nanilii akiwa anatembea huko akiviona hivi vidada asihamie mazimaπ€£ msituone hivi tunasali sala ndefu vitoto ni vichawiii balaa vinashindwa kula kimyakimya vinataka vimtoe mama mwenye nyumba.
Nna rafiki yangu alikua anataka nimshauri anataka kupaki mabegi kisa mchepuko wa mmewe anamsumbua sana anasema ye pia ni mke mwenza. Nikamwambia usinyanyue mguu humo ndani hao wanakupanikisha ili utoke aje yeye. Nikawambia bora hata mkimbizane humo ndani na baba nanii sisi wa nje tusijue ila sio uache nyumba yako kisa kipussy cha chuo. Jana niliwaona mke na mume wako zao out nikasema sasa je mambo si ndo hayo. Saizi michepuko hatuwaachii nyumba. Hawa wababa tunashikamana nao hadi kiama rogeni tu mlipiwe kodi ila majumbani watakuja kula tulichowapikiaπ€£π€£
Tumemjulia wapiMnamjua na ndio msuteni
Mkuu we acha tuπ€£π€£π€£ tunashinda tunasali tunasema eeh Baba, naomba Baba nanilii akiwa anatembea huko akiviona hivi vidada asihamie mazimaπ€£ msituone hivi tunasali sala ndefu vitoto ni vichawiii balaa vinashindwa kula kimyakimya vinataka vimtoe mama mwenye nyumba.
Nna rafiki yangu alikua anataka nimshauri anataka kupaki mabegi kisa mchepuko wa mmewe anamsumbua sana anasema ye pia ni mke mwenza. Nikamwambia usinyanyue mguu humo ndani hao wanakupanikisha ili utoke aje yeye. Nikawambia bora hata mkimbizane humo ndani na baba nanii sisi wa nje tusijue ila sio uache nyumba yako kisa kipussy cha chuo. Jana niliwaona mke na mume wako zao out nikasema sasa je mambo si ndo hayo. Saizi michepuko hatuwaachii nyumba. Hawa wababa tunashikamana nao hadi kiama rogeni tu mlipiwe kodi ila majumbani watakuja kula tulichowapikiaπ€£π€£
Haahahaa badoAu anatafuta kik.. ndio nimeanza kupitia comments, aliwataja au analalamika tu?
Kuna wanaume pia wamehusika ninaandika listTumemjulia wapi
Ohoo nyumba anaipambania mke ili isivunjikeπ sisi tushawajua huwa mnaenda huko kwa tamaa basi sisi tunawasindikiza na maombi ili mrudi nyumbani salamaππPoleni Sana Dada zangu.
Maisha ni vita ya kuwania vitu vizuri.
Ukizubaa hata Mali zako utanyang'anywa.
Hatari mamaπππππππππππ
ππ
Aki asipowataja ndani ya dk 10 tunamrushia yeye kichambo π€£π€£Mimi nimestop hadi kwenda kuoga πΉπΉ
Unique Flower usitupotezee muda
Au tukuchambe wewe sasa π€£
Kumtaja mtu hadharani sio ustaarabu sitafuti kiki wapo kabisa wanaume wapo wawili na wanawake mmh wengi kidogo nikagroup kao.Au anatafuta kik.. ndio nimeanza kupitia comments, aliwataja au analalamika tu?
Tunataka hako ka group kabandikwe ubaoniKumtaja mtu hadharani sio ustaarabu sitafuti kiki wapo kabisa wanaume wapo wawili na wanawake mmh wengi kidogo nikagroup kao.
Basi unawaogopaKumtaja mtu hadharani sio ustaarabu sitafuti kiki wapo kabisa wanaume wapo wawili na wanawake mmh wengi kidogo nikagroup kao.
Sisi mawe mkononi, maneno mdomoni
Basi unawaogopa