Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Tatizo lenu mnasusaga Hadi kwenye nyumba, hapo ndipo hivyo VITOTO vinatumia udhaifu wenu kuwatoa ndani ya nyumba.

Sasa Mama mjengo ATI kisa Mumeo anachepuka unaamua kuondoka hapo nyumbani, unategemea nini hapo
Mi saizi mashoga zangu hawanipigii simu kuniomba ushauri maana jibu langu ni moja. Kama hakupigi ngumi za kichwa na mateke ya tumbo tulia hata huko nje kugumu. Sasa tutasusa sehemu ngapi. Baba nanii wangu tuli date miaka mitano kabla ya ndoa ananijua namjua. Mi saizi kuanza maswala ya what is you favorite colour naweza kuchizika. Michepuko tuwape tu taarifa saizi hata mpige simu kwa wake za madanga yenu hawatoki na hawasusi🤣 labda huyo mke asiwe shoga angu🤣 tafuta na nyie wa kwenu muanze nae kum shape awe hiyo type. Kauli mbiu ni kwamba hakuna kususia nyumba wala watoto. 🤣
 
Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Yani love usiandike sana ww watag tu
 
Tatzo watu mna juana mkija humu mna chat hadi kwenye thread za watu kama mna juana kabsa ...
 
Something is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
Nimesoma comments nimecheka sana, ila hii yako nimeshindwa kupita bila kucomment 😅😅😅😅😅😅

Ila wanasemaga ukiona unasoma kitu hukielewi jua wewe si mlengwa.
 
Back
Top Bottom