Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kwahiyo hiyo list tunaipataje shoo?Kumtaja mtu hadharani sio ustaarabu sitafuti kiki wapo kabisa wanaume wapo wawili na wanawake mmh wengi kidogo nikagroup kao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hiyo list tunaipataje shoo?Kumtaja mtu hadharani sio ustaarabu sitafuti kiki wapo kabisa wanaume wapo wawili na wanawake mmh wengi kidogo nikagroup kao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi malegendaryyy
wanaa kadhaaa tunawajua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atupe kazi
Ama amtaje huyo bwana wao
Sekunde tunampa list ya wake wenzake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Something is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi saizi mashoga zangu hawanipigii simu kuniomba ushauri maana jibu langu ni moja. Kama hakupigi ngumi za kichwa na mateke ya tumbo tulia hata huko nje kugumu. Sasa tutasusa sehemu ngapi. Baba nanii wangu tuli date miaka mitano kabla ya ndoa ananijua namjua. Mi saizi kuanza maswala ya what is you favorite colour naweza kuchizika. Michepuko tuwape tu taarifa saizi hata mpige simu kwa wake za madanga yenu hawatoki na hawasusi[emoji1787] labda huyo mke asiwe shoga angu[emoji1787] tafuta na nyie wa kwenu muanze nae kum shape awe hiyo type. Kauli mbiu ni kwamba hakuna kususia nyumba wala watoto. [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani hapo ashindwe yeye tu hii vita ila jeshi analoSisi malegendaryyy
wanaa kadhaaa tunawajua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atupe kazi
Ama amtaje huyo bwana wao
Sekunde tunampa list ya wake wenzake
Kwahiyo hiyo list tunaipataje shoo?
Kuna mtu kahak jf yangu😝😝[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea eti nn? Lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Tajiri wa malalamikoUnique kila siku ana kesi
Mimi naandaa kigoma kabisaNa madera tutakopa
Yaaaani. Atakua ana gubu huyu anapenda sana kulalamikaUnique kila siku ana kesi
Na huwa hamkosekani hizi nyuziKuna nyuzi hata ukiwa na stress lazima ucheke tu...
😄😄😄
Huwa nasoma nacheka tuYaaaani. Atakua ana gubu huyu anapenda sana kulalamika
Naweee leta harakaaaa sasa hiyo list, coca mcharukooo nshavaa kijora cha chui chui sare ya mama swaumuuu nianzee kuchezesha watu kidamali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli nitaleta
Attention seekerTajiri wa malalamiko
Nasisitiza tena. Wake wakubwa hakuna kususia nyumba. Kauli mbiu yetu ni hiyo🤣 Baba akitoka arudi akiwa na viungo vyote kama tunavyowaombea. Mi sikwenda kwao ye ndo alinifata kwetu🤣 kwanza nlivotoka tu kwetu chumba changu akapewa binamu yangu. Ndani sitoki 🤣🤣🤣eti mchepuko mbona na dinner ntamkaribisha eboo mda mwengine uchizi unasaidia ndani sio kila siku ngumi na mshua.Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asipate tabu kabisaMimi naandaa kigoma kabisa
Vinachekesha ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Namna napenda mambo ya kijinga leo nitashinda kwa shoga angu nicheke tuuu maana anavyoandika na anavyocomment ni burudaniHuwa nasoma nacheka tu