Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Something is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi saizi mashoga zangu hawanipigii simu kuniomba ushauri maana jibu langu ni moja. Kama hakupigi ngumi za kichwa na mateke ya tumbo tulia hata huko nje kugumu. Sasa tutasusa sehemu ngapi. Baba nanii wangu tuli date miaka mitano kabla ya ndoa ananijua namjua. Mi saizi kuanza maswala ya what is you favorite colour naweza kuchizika. Michepuko tuwape tu taarifa saizi hata mpige simu kwa wake za madanga yenu hawatoki na hawasusi[emoji1787] labda huyo mke asiwe shoga angu[emoji1787] tafuta na nyie wa kwenu muanze nae kum shape awe hiyo type. Kauli mbiu ni kwamba hakuna kususia nyumba wala watoto. [emoji1787]
Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi malegendaryyy

wanaa kadhaaa tunawajua

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atupe kazi
Ama amtaje huyo bwana wao
Sekunde tunampa list ya wake wenzake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani hapo ashindwe yeye tu hii vita ila jeshi analo
 
Nimeipendaaaaa hiyoooo, km alinikutaaaa atatokaaa yeye aliyenifuataaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasisitiza tena. Wake wakubwa hakuna kususia nyumba. Kauli mbiu yetu ni hiyo🤣 Baba akitoka arudi akiwa na viungo vyote kama tunavyowaombea. Mi sikwenda kwao ye ndo alinifata kwetu🤣 kwanza nlivotoka tu kwetu chumba changu akapewa binamu yangu. Ndani sitoki 🤣🤣🤣eti mchepuko mbona na dinner ntamkaribisha eboo mda mwengine uchizi unasaidia ndani sio kila siku ngumi na mshua.
 
Back
Top Bottom