Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Nilikua sijui kwamba humu JF kuna watu wanafahamiana kiasi hiki. Nilijuaga wote humu ni anonymous, kumbe mpk watu wanapigana vijembe kama magrp ya Wassup na Sijui. Duh kazi ipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenitukana nimenyamaza Sasa Kwa maana watu wote wamenyamaza umeona libichwa Hilo.

Sikia fuata maisha Yako kenge mmoja wewe na uende huko Kwa mashoga wenzio wakulie good time mie wewe sio hadhi yangu huenda ukawa kazee kaliko na ukichaa Fulani .

Na huenda nikakijana hata boxer Huna unaazima na bado hujui lipi Wala like upuuzi upuuzi tu sikujibu Tena hata uongee ulivyoo ongea sijali Kwa maana tatu.

1.huna akili
2.unataka kiki na hakuna kitu humu
3.unaona utaonekana Bora wewe usitafute hela watukane watu usio wajua
Yaani usiku mmoja unataka nikupe laki tatu? Wakati riverside hiyo pesa nachakata mbususu kwa kwenda mbele.
 
Hata wewe ni mdangaji kumbuka kazi unayoifanya ni maua alikuambia usipolala naye kazi Huna Kwa maana wewe ulikuwa wanakutegemea ukakubali Leo unakasimu na kabandi kamshahara wa mwalimu au kakarani upo busy kusema watu hata maua alidai wewe sio mtamu Wala hujui manjonjo unamwaga mwaga tu pasipi ushirikiano unadata mapema pasipo mchezo kuisha tunaitaga akili ya kuku
😂😂😂😂😂jamani..

Inaelekea una Siri nyingi sana hongera lakini 😘😘😘
 
Hakuna mtu anayechambana na wapuuzi humu ila kama hata wewe Huna heshima utasemwa tu sio utukanwe vibaya upuuzie Kisa mnataka mtu Aishi utakavyooo nani anataka takataka za humu kila mtu anasura ngumu Kama goliati au kiatu Cha Petro wanaume wanasura ngumu wengine wanaishi njee
Wacha basi🤣🤣

Ila humu jf kuna watu wa maana sana ndugu yangu.

Kitu unachoongea /andika humu ndani ndio kitakachokuchagulia watu wako huku.

Ai….kuna watu na viatu humu jf.Inaelekea unakutanaga na viatu..Ila kuna watu wazito sana humu


Nakupendaga bure Kwa sababu ya confidence yako my love..👊👊
 
Niliogopa kama vile ulihisi namaanisha..pole na samahani S C plz
Usijali kuwa na Amani.

Tatizo unaweza kutania humu wakulungwa wakayabeba kama yalivyo wakaanza mbwembwe nyingi.

Sipendagi mambo mengi

Pole pia kama nilikukwaza G..okay
 
Back
Top Bottom