Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mbaya sana wew…yani ukampoteza ghafla 😝😝Unanicheka ee😅
Njema kabisaMariposa za siku ?
Ndio, ilikua hatariIle tread yako ilikutambulisha bila shaka[emoji1787][emoji1787]
Aise wa humu ninawaogopa ngoja kwanza nipuyange na hawa wamtaani na hayo maembeUkiwa chini ya mwembe yakiiva utadondokewa tu S C🤣
Shortcut huwa sio chaguo langu.Mtu mbaya sana wew…yani ukampoteza ghafla 😝😝
Mimi hukunipa ushirikuano kumbe ulibananishwa?Ndio, ilikua hatari
Vinataka kuwapa watu kesi za jinaiVizee ambavyo havitaki kuzeeka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitetea saaaanaa😆😆Shortcut huwa sio chaguo langu.
Napenda njia ndefu na ngumu.
Kuna raha yake.
Huko ninakopelekwa haijawahi tokea SC hakika
Unakosea ujue.Aise wa humu ninawaogopa ngoja kwanza nipuyange na hawa wamtaani na hayo maembe
Kuna wakati saa mbovu hupatia majira.Unajitetea saaaanaa😆😆
Sikuweza kuwajibu woteMimi hukunipa ushirikuano kumbe ulibananishwa?
Yaani usiku mmoja unataka nikupe laki tatu? Wakati riverside hiyo pesa nachakata mbususu kwa kwenda mbele.Umenitukana nimenyamaza Sasa Kwa maana watu wote wamenyamaza umeona libichwa Hilo.
Sikia fuata maisha Yako kenge mmoja wewe na uende huko Kwa mashoga wenzio wakulie good time mie wewe sio hadhi yangu huenda ukawa kazee kaliko na ukichaa Fulani .
Na huenda nikakijana hata boxer Huna unaazima na bado hujui lipi Wala like upuuzi upuuzi tu sikujibu Tena hata uongee ulivyoo ongea sijali Kwa maana tatu.
1.huna akili
2.unataka kiki na hakuna kitu humu
3.unaona utaonekana Bora wewe usitafute hela watukane watu usio wajua
😂😂😂😂😂jamani..Hata wewe ni mdangaji kumbuka kazi unayoifanya ni maua alikuambia usipolala naye kazi Huna Kwa maana wewe ulikuwa wanakutegemea ukakubali Leo unakasimu na kabandi kamshahara wa mwalimu au kakarani upo busy kusema watu hata maua alidai wewe sio mtamu Wala hujui manjonjo unamwaga mwaga tu pasipi ushirikiano unadata mapema pasipo mchezo kuisha tunaitaga akili ya kuku
Wacha basi🤣🤣Hakuna mtu anayechambana na wapuuzi humu ila kama hata wewe Huna heshima utasemwa tu sio utukanwe vibaya upuuzie Kisa mnataka mtu Aishi utakavyooo nani anataka takataka za humu kila mtu anasura ngumu Kama goliati au kiatu Cha Petro wanaume wanasura ngumu wengine wanaishi njee
Usijali kuwa na Amani.Niliogopa kama vile ulihisi namaanisha..pole na samahani S C plz
Haswaaaaah yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vinataka kuwapa watu kesi za jinai
Yani..ni ukakasi mwanzo mwisho kha…Au kalewa?vile sumuelewagi!🙌
Nalijua hilo🤣🤣Unakosea ujue.
Sio yote ni ng'ong'o ujue.
Kuna apple humu humu niamini
Sasa mimi na hizo codes ni wapi na wapi baba angu.nifungulie tuKuna wakati saa mbovu hupatia majira.
Soma codes hizo na uzitunze