hawajui maskin, af kingine unampima tu je ni mtoaji au mkono wa birika uchukue maamuzi yako mapema kabla haujaliwawanaume wangejua jinsi wanawake wanaopiga mizinga walivo na mapenzi ya dhati sijui wangesemaje
Shualina....hawajui maskin, af kingine unampima tu je ni mtoaji au mkono wa birika uchukue maamuzi yako mapema kabla haujaliwa
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mkuu yaani elfu hamsini tu ndio kelele zote hizo. Kama hauna unakaa kimya tu sio unawatangazia watu au unataka tukuazime hiyo hela?
Ngabu wanguShualina....
Ngabu wangu
Hahahahhhhahh Ngabu umenikumbusha iyo nyimboNampenda Shualina...Shualina...Shualina
Hata kama hela sina, hela sina, hela sinaaa
Hahahahhhhahh Ngabu umenikumbusha iyo nyimbo
We shunii wewe....Ngabu wangu
mimi apa nimekuja Vale, si unajua wa kwanza ni wa kwanza lazima nije kwa heshimaWe shunii wewe....
Mi nawaangalia tu[emoji17]mimi apa nimekuja Vale, si unajua wa kwanza ni wa kwanza lazima nije kwa heshima
sikuibii bana mm nataka wa peke angu tu [emoji4]uyo mtani wanguMi nawaangalia tu[emoji17]
Ukikatwa shingo tutakurudisha bariadi tukakupumzishe kwenye majaruba ya mpunga maana hakuna namnaShualina....
Nampenda Shualina...Shualina...Shualina
Hata kama hela sina, hela sina, hela sinaaa
Na bado...ntakukumbusha mengine mengi zaidi😉
Apo sawa sasa[emoji4]sikuibii bana mm nataka wa peke angu tu [emoji4]uyo mtani wangu
Toka lini?Mie namjua Valentina tu ndio kakalia ini la NgabuNgabu wangu