Wadau kitimoto nzuri napata wapi Dar?

Wadau kitimoto nzuri napata wapi Dar?

sipapendi kichizi unafika saa sita kula saa kumi!!

last week nilienda nikataka rost, kimekuja kitimoto kibaya nikajuta kupoteza muda wangu
Hivi bado unaenda tu mibbs my?...kwanini usisogee hapo micasa ukala ribs zako safi za kukokwa

Pascal atanifisi mie looh[emoji849][emoji849][emoji848]
 
Unywele Twin wangu[emoji3059][emoji3059]


kilikua poa kitimoto chake, maana huwa anazingua
Hiki kilikuwa kizuri...mi nawambiaga wapishi wake vile mi nataka ichomwe ndo maana hawazingui
 
Wadau naomba tushare sehemu nzuri kwa hapa Dar ambazo zinawapishi wazuri wa kitimoto tuweze kuwa tuna badili viwanja.

Majina ya sehem na location itapendeza zaidi.

--------

Pitia link hizi
Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

Tujuzane machimbo yetu pendwa ya nyama ya kitimoto
Nenda Goba njia ya kwenda Madale ukitoka njia nne kuelekea Madale kuna bar maarufu sana inaitwa Joy Es Lava agiza ya kuchoma, hakika utakuwa unatia timu kila wiki
 
Tulia wewe. Odd keshokutwa Lazima Bei itapanda tu. Resti Kitimoto hanaga show mbovu Kama Mama Chambo

Sawa


حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنْزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ وَأَنْ تَسْتَقْسِمُوا بِالْأَزْلَامِ ۚ ذَٰلِكُمْ فِسْقٌ ۗ الْيَوْمَ يَئِسَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ دِينِكُمْ فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ فَمَنِ اضْطُرَّ فِي مَخْمَصَةٍ غَيْرَ مُتَجَانِفٍ لِإِثْمٍ ۙ فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَحِيمٌAl-Ma'idah Ayat 3
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.
 
Ina maana wote hampajui kontena karibu na Hubert Kairuki? Sijaona mmepataja.

Anyways mimi nassugest:-
1: Kontena karibu na HK Hospital
2: Kazimoto Pork Tabata Segerea
3: Pipz Pork Mikocheni na Mwenge

Kwa Morogoro kuna mwamba anaitwa Kimario yuko nyuma ya Msamvu Bus Stand, very local place but mdudu wake ni [emoji91][emoji91][emoji1544]
 
Back
Top Bottom