Wadau, kufeli vibaya kwa ile movie mnafikiri tatizo lilikuwa wapi na limesababishwa na nani?

Wadau, kufeli vibaya kwa ile movie mnafikiri tatizo lilikuwa wapi na limesababishwa na nani?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Nashangaa naona ni siku Moja tu imepita tangu movie itoke lakini naona kimya kabisaaaa. Hata wale haters wa Mama yetu ambao mara tu baada ya bi mdada kutangaza kutoka kwa movie yake walikimbilia mitandaoni fasta ambako walianza kushusha mamia ya viapo kwamba movie ni true kabisa. Aidha, haters hawa wakaendelea kushusha mamia ya Dua mbaya kwa Mama yetu ambazo hazijapokelewa na Wala hakuna dalili ya kupokelewa.

Makumi ya threads yakashuka jana hiyohiyo kutoka kwa haters wa Mama yetu yakimshutumu yeye na serikali yake. Waliohoji lolote katika kutaka kukazia uelewa na uyakini wa tukio hilo walitukanwa na kubezwa na 'wajuzi' hao wa mambo ya utekaji. Pamoja na jitihada zote hizo za haters, movie Wala haionekani kuuza......raia wamekataa kabisaaa kuelewa sababu sura na macho yake vinasema tofauti na mdomo wake.

Wakiwa wameumbuka tayari, haters Leo wamejifichia kwenye habari ya mwenyekiti wa bavicha hawana time kabisa na ile movie. Mnafikiri kosa lilikuwa wapi kwenye uchezaji wa hii movie? Karibuni wadau kwa michango murua kwa faida ya kizazi hiki na kijacho.
 
Nashangaa naona ni siku Moja tu imepita tangu movie itoke lakini naona kimya kabisaaaa. Hata wale haters wa Mama yetu ambao mara tu baada ya bi mdada kutangaza kutoka kwa movie yake walikimbilia mitandaoni fasta ambako walianza kushusha mamia ya viapo kwamba movie ni true kabisa. Aidha, haters hawa wakaendelea kushusha mamia ya Dua mbaya kwa Mama yetu ambazo hazijapokelewa na Wala hakuna dalili ya kupokelewa.

Makumi ya threads yakashuka jana hiyohiyo kutoka kwa haters wa Mama yetu yakimshutumu yeye na serikali yake. Waliohoji lolote katika kutaka kukazia uelewa na uyakini wa tukio hilo walitukanwa na kubezwa na 'wajuzi' hao wa mambo ya utekaji. Pamoja na jitihada zote hizo za haters, movie Wala haionekani kuuza......raia wamekataa kabisaaa kuelewa sababu sura na macho yake vinasema tofauti na mdomo wake.

Wakiwa wameumbuka tayari, haters Leo wamejifichia kwenye habari ya mwenyekiti wa bavicha hawana time kabisa na ile movie. Mnafikiri kosa lilikuwa wapi kwenye uchezaji wa hii movie? Karibuni wadau kwa michango murua kwa faida ya kizazi hiki na kijacho.
Hapo ndio unaona umecheza bonge la mindgame! Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee ndio huwa wanatumia mbinu hizi za kichovu.
 
Hapo ndio unaona umecheza bonge la mindgame! Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee ndio huwa wanatumia mbinu hizi za kichovu.
Kosa lilikuwa wapi katika uchezaji wa ile movie mkuu Hadi imebuma?!!
 
Nashangaa naona ni siku Moja tu imepita tangu movie itoke lakini naona kimya kabisaaaa. Hata wale haters wa Mama yetu ambao mara tu baada ya bi mdada kutangaza kutoka kwa movie yake walikimbilia mitandaoni fasta ambako walianza kushusha mamia ya viapo kwamba movie ni true kabisa. Aidha, haters hawa wakaendelea kushusha mamia ya Dua mbaya kwa Mama yetu ambazo hazijapokelewa na Wala hakuna dalili ya kupokelewa.

Makumi ya threads yakashuka jana hiyohiyo kutoka kwa haters wa Mama yetu yakimshutumu yeye na serikali yake. Waliohoji lolote katika kutaka kukazia uelewa na uyakini wa tukio hilo walitukanwa na kubezwa na 'wajuzi' hao wa mambo ya utekaji. Pamoja na jitihada zote hizo za haters, movie Wala haionekani kuuza......raia wamekataa kabisaaa kuelewa sababu sura na macho yake vinasema tofauti na mdomo wake.

Wakiwa wameumbuka tayari, haters Leo wamejifichia kwenye habari ya mwenyekiti wa bavicha hawana time kabisa na ile movie. Mnafikiri kosa lilikuwa wapi kwenye uchezaji wa hii movie? Karibuni wadau kwa michango murua kwa faida ya kizazi hiki na kijacho.
Aliye elewa hapa anijulishe. Hivi star wa hiyo movie inayotajwa ni nani? Maudhui yake yalikuwa nn? Na mandhari yake ilikuwa wapi?
 
Nashangaa naona ni siku Moja tu imepita tangu movie itoke lakini naona kimya kabisaaaa. Hata wale haters wa Mama yetu ambao mara tu baada ya bi mdada kutangaza kutoka kwa movie yake walikimbilia mitandaoni fasta ambako walianza kushusha mamia ya viapo kwamba movie ni true kabisa. Aidha, haters hawa wakaendelea kushusha mamia ya Dua mbaya kwa Mama yetu ambazo hazijapokelewa na Wala hakuna dalili ya kupokelewa.

Makumi ya threads yakashuka jana hiyohiyo kutoka kwa haters wa Mama yetu yakimshutumu yeye na serikali yake. Waliohoji lolote katika kutaka kukazia uelewa na uyakini wa tukio hilo walitukanwa na kubezwa na 'wajuzi' hao wa mambo ya utekaji. Pamoja na jitihada zote hizo za haters, movie Wala haionekani kuuza......raia wamekataa kabisaaa kuelewa sababu sura na macho yake vinasema tofauti na mdomo wake.

Wakiwa wameumbuka tayari, haters Leo wamejifichia kwenye habari ya mwenyekiti wa bavicha hawana time kabisa na ile movie. Mnafikiri kosa lilikuwa wapi kwenye uchezaji wa hii movie? Karibuni wadau kwa michango murua kwa faida ya kizazi hiki na kijacho.
movie kama ile kumkosa starling wa hizi kazi Abdul nondo lazima ikosewe tu,

uzuri ni kwamba starling wa ile movie part2, anadai eti watekaji walimuogopa sana na ndio maana hakwenda kuripoti hata polisi, badala yake akaenda zake home tu kupumzika 🐒
 
movie kama ile kumkosa starling wa hizi kazi Abdul nondo lazima ikosewe tu,

uzuri ni kwamba starling wa ile movie part2, anadai eti watekaji walimuogopa sana na ndio maana hakwenda kuripoti hata polisi, badala yake akaenda zake home tu kupumzika 🐒
Dada mjinga sana yule.
 
dbd.jpeg
 
Japokuwa sijui mnazungumzia movie gani ila mm mwnyw nimesikitika sana kuona hiyo movie haijaenda vairo

Anyway, Mbowe atoke tuu tunamtaka Lissu.
 
Back
Top Bottom