Wadau, kufeli vibaya kwa ile movie mnafikiri tatizo lilikuwa wapi na limesababishwa na nani?

Umeandika ujinga tupu. Washirikishe wapumbavu wenzako
 
Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwani nyie ndiyo mliocheza kadrama au?
Ilipaswa Abdul nondo awe starling, sasa huyo mbibi akang'ang'ana mwenywe tu,

huyo huyo script writer, director na actor ndiyo maana ikawa hivyo ilivyokua 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…