Wadau kwa Milioni 17 naweza kujenga apartment 4?

Acha ujinga, apartment niliyoitaja ni ya chumba kimoja jiko na bafu bila sebule, nikaongeza kuwa zikiwa na sebule zitatoka 3. Hiyo sebule umeweka wewe. Moja ya nyumba zangu ina nyumba 3. Viwili ni self na sebule yenye 3.5m kwa 5.5m na dinning. Nilitumia 2200 blocks na kuingia ndani unapanda ngazi 4. Tena kuna upande una kozi 11 kwa 10 kabla ya kufunga dirisha. Acha uboya. Blocks 1600 unajenga nyumba kamili yenye vyumba 2 vya kulala, sebule, store, choo na bafu. Kwa nondo hizo unazungumzia nyumba yenye mzingo wa mita 48 au 29 kutegemea kama msingi hautaweka au utaweka nondo respectively. Hiyo nyumba yako ni ya 14m by 10m au 8m by 6.5m. Hizo ni nyumba kubwa.
 
4.5m kwa 3m. Upande wenye 4.5m unapunguza 1.5m. Itatoa jiko na choo size 1.5 kwa 1.5 na kubakiwa na chumba chenye 3m kwa 3m. Block za msingi kwa moja ni 150pcs na kuinua 700. Upauaji wa Contemporary
Kwahiyo upauaji wa contemp ni nafuu?
 
Tujue apartments ni nyumba za aina gani maana maelezo yako ni chumba kimoja jiko la choo.
Kuna studio apartments pia .... choo na bafu tu ndiyo vinavyotenganishwa.
 
Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?

Msaada tafadhali
Yaani kila apartments igharimu milioni 17 au hiyo milioni milioni 17 ndio apartments zote 4.
 
Inawzekana ila zitakua local sana... Hazina umeme wala maji...
 
PIGA HESABU. ACHA UMBUMBUMBU AU HUJUI GHARAMA ZA UJENZI ZILIVYOPANDA KWA SASA. CHUMBA KIMOJA BILA SEBULE UNAKIITA NI APARTMENT.....AKILI YAKO IKOJE WEWE?
 
Zinaitwa studio/efficiency nchini US
Kenya wanaziita bed seaters.
Studio haiqualify kuwa aprtment. Hata hiyo studio kaa chini uipigie hesabu kisha kuanzia kiwanja. Usikurupuke. Utaishia kuikimbia site. Ni rahisi kujenga kwenye fikra na kwenye makaratasi. Ukianza ndipo unakumbana na uhalisia mgumu
 
Fremu au apartment UNATAKA NINI...?
 
Kujenga maana yake anacho kiwanja. Apartment maana yake nyumba 4 za kupangisha bila kujali idadi ya vyumba. Hadhi ya apartment ni atleast 4m kwa moja. Kiasi ambacho kinatosha sana kwa chumba choo na jiko lake × 4.
Nyie wenzetu hizi nyumba mnajengea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…