afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
malizia tu ni nzuri sanatena utoe na ushauriAliyemalizia ataniadithia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malizia tu ni nzuri sanatena utoe na ushauriAliyemalizia ataniadithia
Ko hao wanaozisaka huwataki unawataka wenye Nazo tayarwapo sema wanajitahidi kutafuta
Nashukuru sana mkuuaisee true love hiyo pia usitegemee kuwa kitu kizuri kiutakosa changamoto..kwa mimi ntampenda sana huyo binti maana amegundua true love sio kuwa na gari au pesa kama shombe alivomfanyia..pia ashakuwakiakili huyo binti.....kingine mzazi anaamini we fukara hutakiwi kumuoa so bado ana mentalit ya biinti yangu aolewe a nayejielewa au mwenye pesa sijui kazi inaeleweka...ila maisha hakuna ajuaye kesho...anawea olewa na hao ikawa majanga..cha muhimu vumilia sali sana pia ila si lazima kukimbilia kwao huyo binmti usiende kwa kuwa ni mtu mzima muonane kwingine tu...pia kiitokea kitu ripoti tu kama alert.............
Bado unakojoaga tuNimesoma nusu Mkojo umenibana
Ngoja nikakojoe zen ntakuja kumalizia
Poa mkuuMoyo mashine
songwe daah nmekumbuka mbali sana...hivi kitelewasi bado ipo?True story joh ushaur pliiz
songwe daah nmekumbuka mbali sana...hivi kitelewasi bado ipo?True story joh ushaur pliiz
Hizo nchi sita ni urefu wa kimo, mikono, miguu au rungu?Advice plz
[emoji1]Real Madrid kundi lake wapo na timu gani UEFA.
I have a six countrys teh...! Nina imani umeelewaHizo nchi sita ni urefu wa kimo, mikono, miguu au rungu?
Njoo songwe uchukueAfu we Fundi pancha wa apo rangi tatu nakudai chenji
Umeishi huku mkuusongwe daah nmekumbuka mbali sana...hivi kitelewasi bado ipo?
Jamaa sura ngumu kapendwa na mrembo, katambulishwa kwao wazee wakamkubali na kumfurahia ila nyuma ya pazia mzee katafuta vijana wa UKUTA wakamfinya kidogo kisha akaongea na mzee via 4n achague kuishi au kufa akimng'ang'ania mrembo.Aliyemalizia ataniadithia