Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Habarini za leo JF,

Naombeni msaada wenu,

Mwenye kuijua vizuri AUDI A4 hii gari nisije nikaingia kichwa kichwa nataka kujua mapungufu yake makubwa, je spear zinapatikana na ubora wake pia najua humu kuna watu wa aina tofauti wenye ujuzi.

Naombeni msaada wenu.

1476083873425.png
 
Hakuna kiwanda kinachozalisha magari yenye mapungufu kutumika, spare zisiwepo duniani, isipokuwa hofu yetu sisi tumekariri aina ya magari kununua kwamba spare, mafuta, durability, n.k na sababu zingine za kiuchumi. Niseme hivi kama magari ya toyota ni cheap na easy to maintain yakiharibika kwanini bado yapo kwenye magogo na mawe huko kwenye magereji !? Jenga itikadi ya kununua gari ulipendalo na unaloweza kumudu kulihudumia kufuatana na kipato chako kilivyo. Ni mtizamo tu japo.....

Watalaam wa magari wanakuja
 
Hakuna kiwanda kinachozalisha magari yenye mapungufu kutumika, spare zisiwepo duniani, isipokuwa hofu yetu sisi tumekariri aina ya magari kununua kwamba spare, mafuta, durability, n.k na sababu zingine za kiuchumi. Niseme hivi kama magari ya toyota ni cheap na easy to maintain yakiharibika kwanini bado yapo kwenye magogo na mawe huko kwenye magereji !? Jenga itikadi ya kununua gari ulipendalo na unaloweza kumudu kulihudumia kufuatana na kipato chako kilivyo. Ni mtizamo tu japo.....

Watalaam wa magari wanakuja
kweli kaka ila kuna magari spear kupata mtihani utahaingaika ilala yote maduka yote hii gari natamani sana kuwanayo ila hofu spear tu
 
Hakuna gari isiyokuwa na spear. Ukishaimiliki hiyo gari utajua pa kupata spear.
Na uzuri wa gari za mjerumani wana spea makini.
nimekusoma mkuu ila nitafanya risech kufahamu zaidi
 
Hakuna kiwanda kinachozalisha magari yenye mapungufu kutumika, spare zisiwepo duniani, isipokuwa hofu yetu sisi tumekariri aina ya magari kununua kwamba spare, mafuta, durability, n.k na sababu zingine za kiuchumi. Niseme hivi kama magari ya toyota ni cheap na easy to maintain yakiharibika kwanini bado yapo kwenye magogo na mawe huko kwenye magereji !? Jenga itikadi ya kununua gari ulipendalo na unaloweza kumudu kulihudumia kufuatana na kipato chako kilivyo. Ni mtizamo tu japo.....

Watalaam wa magari wanakuja
Mdanganyeni mwenzenu, Audi ni gari nzuri ila ukweli lazima usemwe kwamba spea zake ni adimu Bongo kwakuwa gari hizo sio nyingi, mimi nilikuwaga mbishi hivyohivyo nilikuwa naforce kununua gari ya Honda Fit kwavile nilipenda sana muonekano wake ila kila mtaalam wa magari nikienda anashauri niachane nazo maana nitasumbuka spea, ikabidi niangukie hukohuko kwenye toyota maana hakuna namna
 
Mdanganyeni mwenzenu, Audi ni gari nzuri ila ukweli lazima usemwe kwamba spea zake ni adimu Bongo kwakuwa gari hizo sio nyingi, mimi nilikuwaga mbishi hivyohivyo nilikuwa naforce kununua gari ya Honda Fit kwavile nilipenda sana muonekano wake ila kila mtaalam wa magari nikienda anashauri niachane nazo maana nitasumbuka spea, ikabidi niangukie hukohuko kwenye toyota maana hakuna namna
Mpaka sasa namiliki Honda la 1996 Comfortable Reliable Vehicle, usiogope spea, ndio maana nimesema nunua gari linalomechi uchumi wako kuliendesha na service zake. Audi ni gari pekee na bei yake sokoni ameiona. Liweke bwana usiogope.
 
Mkuu kama makazi yako ni hapa dsm basi ondoa shaka maana maeneo ya mwananyamala kuna mpemba ana gereji ya magari anatengeneza AUDI na VW tu.. hivyo spea na mafundi wa hii gari wapo ww kama umeipenda agiza uitembelee..
 
Habarini za leo JF,

Naombeni msaada wenu,

Mwenye kuijua vizuri AUDI A4 hii gari nisije nikaingia kichwa kichwa nataka kujua mapungufu yake makubwa, je spear zinapatikana na ubora wake pia najua humu kuna watu wa aina tofauti wenye ujuzi.

Naombeni msaada wenu.

View attachment 415388
Ukishanunua nitafute. Mimi na supply spare parts za hayo magari.
 
Mdanganyeni mwenzenu, Audi ni gari nzuri ila ukweli lazima usemwe kwamba spea zake ni adimu Bongo kwakuwa gari hizo sio nyingi, mimi nilikuwaga mbishi hivyohivyo nilikuwa naforce kununua gari ya Honda Fit kwavile nilipenda sana muonekano wake ila kila mtaalam wa magari nikienda anashauri niachane nazo maana nitasumbuka spea, ikabidi niangukie hukohuko kwenye toyota maana hakuna namna
Wewe tu ulikuwa hujui wapi upate spares. Mimi nauza spares za hayo magari nina vitu vingi sana vya audi a4.
1.service parts zote eg oil filter,air filter,fuel filter,pollen filter
2.suspension parts zote eg shock absorbers,tie rod end,rack ends,control arms,stabilizer links,wishbone bushes
3.fuel pumps
4.water pump
5.mass air flow sensor
6.oxygen sensor
7.radiator
8.radiator fan
9.timing belt
10.cylinder head gasket
11.top cover gasket
12.spark plugs
13.ignition coil
14.expansion tank
15.cv joints
16.thermostat with housing
etc etc etc
 
Wewe tu ulikuwa hujui wapi upate spares. Mimi nauza spares za hayo magari nina vitu vingi sana vya audi a4.
1.service parts zote eg oil filter,air filter,fuel filter,pollen filter
2.suspension parts zote eg shock absorbers,tie rod end,rack ends,control arms,stabilizer links,wishbone bushes
3.fuel pumps
4.water pump
5.mass air flow sensor
6.oxygen sensor
7.radiator
8.radiator fan
9.timing belt
10.cylinder head gasket
11.top cover gasket
12.spark plugs
13.ignition coil
14.expansion tank
15.cv joints
16.thermostat with housing
etc etc etc
basi poa kaka nilikuwa na hofu spear tu kama zipo aina shida nitakutafuta in box ili tupeane mawasiliano mkuu
 
basi poa kaka nilikuwa na hofu spear tu kama zipo aina shida nitakutafuta in box ili tupeane mawasiliano mkuu
Mkuu samahani. Nimeshindwa kuvumilia. Mwanzoni nilidhani ni typo lakini upo consistent sana. Siyo kwa nia mbaya. Tatizo Faiza Foxy kapotea sana siku hizi.

Spear = mkuki (aina mojawapo ya silaha za jadi)

Spare = kibadala (kama kwenye gari lako)
 
Safi sana nimependa kumbe kuna watu wana positive mentality. Slimshedy Audi A4 is the best realible car you can have kwanza durable, fair consumption, speed (kama mpenzi wa mwendo) na general performance yake iko superb. Nakushauri for more best choices angalia za Singapore wako jamaa flan wanaitwa Prestige Auto try their choices gari za Singapore ziko more reliable in my opinion as zinakua ni European standard.
 
Back
Top Bottom