Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Vip mkuu spare za tourage unazo?Wewe tu ulikuwa hujui wapi upate spares. Mimi nauza spares za hayo magari nina vitu vingi sana vya audi a4....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip mkuu spare za tourage unazo?Wewe tu ulikuwa hujui wapi upate spares. Mimi nauza spares za hayo magari nina vitu vingi sana vya audi a4....
Touareg ninazo nyingi sanaVip mkuu spare za tourage unazo?
Hakuna gari isiyokuwa na spear. Ukishaimiliki hiyo gari utajua pa kupata spear.
Na uzuri wa gari za mjerumani wana spea makini.
Hizo gari zenye mikuki zikoje ?kweli kaka ila kuna magari spear kupata mtihani utahaingaika ilala yote maduka yote hii gari natamani sana kuwanayo ila hofu spear tu
kazitafute utazipataHizo gari zenye mikuki zikoje ?
Mkuu nilikuwa naiogopa Touareg kwa sababu ya spare sasa ngoja nizameTouareg ninazo nyingi sana
1.service parts zote za diesel/petrol
2.suspension parts eg shocks,tie rod ends,rack ends,stabilizer links,control arms zote,wishbone bushes...
Nikazitafutie wapikazitafute utazipata
manzese kwa mfuga mbwa zipo nyingi tuNikazitafutie wapi
Ndio wapi hukomanzese kwa mfuga mbwa zipo nyingi tu
Njoo inbox 0712999090Habarini za leo JF,
Naombeni msaada wenu,...
Hakuwa mtaalamu bali fundi wa toyotaMdanganyeni mwenzenu, Audi ni gari nzuri ila ukweli lazima usemwe kwamba spea zake ni adimu Bongo kwakuwa gari hizo sio nyingi, mimi nilikuwaga mbishi hivyohivyo nilikuwa naforce kununua gari ya Honda Fit kwavile nilipenda sana muonekano wake ila kila mtaalam wa magari nikienda anashauri niachane nazo maana nitasumbuka spea, ikabidi niangukie hukohuko kwenye toyota maana hakuna namna
Mkuu huoni zimejaa mjini na zinaongezeka kila siku. Usiogope gari yoyote sasa hivi.Mkuu nilikuwa naiogopa Touareg kwa sababu ya spare sasa ngoja nizame
Mkuu gari za mjerumani ni makini sana!ukweli ni kwamba hakuna gari isiyo na spea duniani labda iwe ya kitambo sana!kinachosumbua hapa ni upatikanaji wa spea.Habarini za leo JF,
Naombeni msaada wenu,
Wale Actors wa 1) Transporter, 2) Transporter The Series na 3) Transporter - Refueled wote wametumia hii Gari. Kila la heri mkuu wangu, ukishanunua nishtue niwe nakupa mizigo ya dili unipelekee mahali kama wale jamaaSafi sana nimependa kumbe kuna watu wana positive mentality. Slimshedy Audi A4 is the best realible car you can have kwanza durable, fair consumption, speed (kama mpenzi wa mwendo) na general performance yake iko superb. Nakushauri for more best choices angalia za Singapore wako jamaa flan wanaitwa Prestige Auto try their choices gari za Singapore ziko more reliable in my opinion as zinakua ni European standard.
Safi sana nimependa kumbe kuna watu wana positive mentality. Slimshedy Audi A4 is the best realible car you can have kwanza durable, fair consumption, speed (kama mpenzi wa mwendo) na general performance yake iko superb. Nakushauri for more best choices angalia za Singapore wako jamaa flan wanaitwa Prestige Auto try their choices gari za Singapore ziko more reliable in my opinion as zinakua ni European standard.
Ni audi lkn A8.Wale Actors wa 1) Transporter, 2) Transporter The Series na 3) Transporter - Refueled wote wametumia hii Gari. Kila la heri mkuu wangu, ukishanunua nishtue niwe nakupa mizigo ya dili unipelekee mahali kama wale jamaa
Singapore ni dunia ya kwanza mkuu. Bidhaa zao hazitofautiani na ulaya na marekani.Kuna mshakji ameniambia ye ameagiza bmw 320i m-spot huko Singapore nikapata mashaka khs quality za gari za huko Singapore chief
Mkuu spare za VW unaagiza wapi? I own a VW ...it's a real machine kwa kweli. I don't regret to have bought it. Mara nyingi spare naagiza nje. But kiukweli it is worthy it.Touareg ninazo nyingi sana
1.service parts zote za diesel/petrol....
Weee kuna gar spear zinasumbua kweliHakuna gari isiyokuwa na spear. Ukishaimiliki hiyo gari utajua pa kupata spear.
Na uzuri wa gari za mjerumani wana spea makini.
DEALER: vp kuhusu hii mashine bluebird sylphy, naitamani sana hasa ya mwaka 2014, spare unazo pia.....??Touareg ninazo nyingi sana
1.service parts zote za diesel/petrol...