Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Mkuu spare za VW unaagiza wapi? I own a VW ...it's a real machine kwa kweli. I don't regret to have bought it. Mara nyingi spare naagiza nje. But kiukweli it is worthy it. Achana na hizi porojo kwamba spare hazipatikani. Kama alivyosema mwenzetu humu kikubwa nunua aina ya gari unayoweza kuimudu kiuchumi.
Naagiza UK. Njoo ununue kwangu nikupunguzie usumbufu wa kuagiza.
 
Weee kuna gar spear zinasumbua kweli
Yaan mpaka uagize na ukiagiza wakakosea imekula kwako
Kuna ninaowajua wameagiza vifaa vinakuja tofaut af unasubiri sanaa

Ila ni vigum hyo gari kuharibika maana vyuma vyake ni vigum kama subaru2

Wauza spare za magari haya ya kijerumani hawatoi spare bila kuhakiki chassis number. Magari yanatoka viwanda tofauti na spare zinapishana hata kwa model ile ile.
 
Hiyo 260 utaenseshea wapi na barabara zetu na vibao vya 50 kila kona ?
1477592567324.jpg
 

Attachments

Kisangani au Mastercard...kuna duka lingine pale msimbazi street jina limenitoka. Ila 2014 bado mpya mpya unaweza kulazimika kwenda kwa dealer wa Nissan.
Mnazi mmoja kama unaenda mtaa wa Kisutu Mwarabu mmoja anaitwa Nathoo ana Spair zote unazotaka wewe za most of European cars VW, Audi, Peugeot, Renault nk.
 
Hizo gari zenye mikuki zikoje ?
mkuu tatizo lako unapendA kutafsri kilA nenO katikA sentence ,wakati mwingine jifanye umeelewA tu japokuwA kwenye hlo neno kuna makosa lakni tuasume tumeelewaA lengo lake ni nn.
 
Mnazi mmoja kama unaenda mtaa wa Kisutu Mwarabu mmoja anaitwa Nathoo ana Spair zote unazotaka wewe za most of European cars VW, Audi, Peugeot, Renault nk.
Niliemjibu kaulizia spare za nissan, soma vizuri.
 
Hakuna kiwanda kinachozalisha magari yenye mapungufu kutumika, spare zisiwepo duniani, isipokuwa hofu yetu sisi tumekariri aina ya magari kununua kwamba spare, mafuta, durability, n.k na sababu zingine za kiuchumi. Niseme hivi kama magari ya toyota ni cheap na easy to maintain yakiharibika kwanini bado yapo kwenye magogo na mawe huko kwenye magereji !? Jenga itikadi ya kununua gari ulipendalo na unaloweza kumudu kulihudumia kufuatana na kipato chako kilivyo. Ni mtizamo tu japo.....

Watalaam wa magari wanakuja

wabongo wamekaririshwa kuwa nje ya gari za toyota basi rand ya gar zingine zote bomu ni ni expensive kuzimantain...... tunaongozwa na inferiority complex.. ndo maaana watu wanakimbilia vi duet, vitz na zingine.. cha ajabu hizo gar hazimalizi 5 years... tayar ziko juu ya mawe.. ama zimechoka vibaya... ukienda kenya utakuta nissan na subaru zimejaa.. maana wao wanaamini katika durability. na hawana hofu ya brand.. ndio maana unasikia hapa bongo watu wanasema ooh nissan au bmw au benz au subaru hizo utajuta kaka ndoa za kikristo.. ukiuliza sababu utasikia spea gharama mara hazipatika had uagize nairob ama nje.. unajuliza hapo nairob spea zimejaa inakuwaje bongo zisiwepo tuogope.. unakuta mtu anaendesha kivitz au mark x.. akipishana na subaru ama nissan skyline unasikia "dah mwanaume" gar zinadumu sana... cha ajabu ukiangalia bei ya vitz yake kanunua 18m... hizo gar anazosifia bei zinalinga na mark x.. unajiuliza mbona hajanunua ukiluliza unambia spea

KIKUBWA NUNUA KILE KITU UNACHOPENDA SIO UNAENDESHA PASSO UKIPISHANA NA AUDIO UNAITOLEA MACHO.. kitu kikubwa ni matunzo... swala na gharama za spea ni swala la kawaida.. ukinunua gar sababu ya bei spea basi nunua bajaj kabisa..

NB: siongei kishabiki namiliki subaru legacy b4 mwaka wa pili na kila mtu alinikatisha tamaa nilipoagiza.. ila mpaka ss sijajutia kuwa nayo... na mafuta matumiz yangu ni kama hizo toyota ...
 
Wewe tu ulikuwa hujui wapi upate spares. Mimi nauza spares za hayo magari nina vitu vingi sana vya audi a4.

Hata za Q7 naweza kupata?
 
Wakuu habari!
Ninampango wa kuachana na magari ya TOYOTA nihamie kwa mjerumani...sasa kwenye pita pita zangu mitandaoni nikakutana na Mnyama AUDI A4.

Nahitaji ufahamu wa garage nzuri na upatikanaji wa spear wa hii Gari kabla kabla sijalinunua.
Shukrani.
 

Attachments

  • audi.jpg
    audi.jpg
    31.7 KB · Views: 258
Kubaki toyota au kuhamia honda;AUD,BM na NISSAN ni pesa yako tu mkuu kama umejipanga vzr haina tatizo gerege zipo za kutosha Dar
 
Back
Top Bottom