Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

AUDI A4

Audi ni brand ambayo imundwa kutoka ujerumani european car ,ambayo brand hii kwa muda mrefu sasa ipo bongo , wengi wanaogopa european car kutokana na gharama za kununua gari ziko juu lakini ukinunua unafurahia imekaza kila idara ,kuanzia usalama,mwendo speed ya kutosha ,uimara wa bodi lkn pia ipo corftable na ni luxury pia ,gari hii ina viti vitano kwa ndani uzalishaji wake ulianza mwaka 1994,upande wa umbo inakuja na maumbo mawili ambayo ni saloon na station wagon ,station wagoni inajulikana kwa jina la Avant..
Mkuu hii umeandaa mwenyewe?

Kama ndiyo. Hongera!
 
Mkuu hii umeandaa mwenyewe?

Kama ndiyo. Hongera!
Ndio michongo yangu hiyo ukiwa unataka kujifunza kuhusu magari tafuta nina group fb inaitwa TANZANIA USED CAR MARKET(TOP GEAR) igia hapo au CHUO KIKUU CHA MAGARI utapata post zangu za magari aina mbali mbali huwa nafafanua kila siku
 
Ndio michongo yangu hiyo ukiwa unataka kujifunza kuhusu magari tafuta nina group fb inaitwa TANZANIA USED CAR MARKET(TOP GEAR) igia hapo au CHUO KIKUU CHA MAGARI utapata post zangu za magari aina mbali mbali huwa nafafanua kila siku
Pamoja
 
Ndio michongo yangu hiyo ukiwa unataka kujifunza kuhusu magari tafuta nina group fb inaitwa TANZANIA USED CAR MARKET(TOP GEAR) igia hapo au CHUO KIKUU CHA MAGARI utapata post zangu za magari aina mbali mbali huwa nafafanua kila siku
Kwenye insta je, tunakupataje?
 
AUDI A4
Audi ni brand ambayo imundwa kutoka ujerumani european car ,ambayo brand hii kwa muda mrefu sasa ipo bongo , wengi wanaogopa european car kutokana na gharama za kununua gari ziko juu lakini ukinunua unafurahia imekaza kila idara ,kuanzia usalama,mwendo speed ya kutosha ,uimara wa bodi lkn pia ipo corftable na ni luxury pia ,gari hii ina viti vitano kwa ndani uzalishaji wake ulianza mwaka 1994,upande wa umbo inakuja na maumbo mawili ambayo ni saloon na station wagon ,station wagoni inajulikana kwa jina la Avant....

1. Spacious

2. Executive design

3. A wide choice of engines
Umesema iko chibi Sana kwahiyo kwenye rough road haifai kabisa?
 
AUDI A4



Audi ni brand ambayo imundwa kutoka ujerumani european car ,ambayo brand hii kwa muda mrefu sasa ipo bongo , wengi wanaogopa european car kutokana na gharama za kununua gari ziko juu lakini ukinunua unafurahia imekaza kila idara ,kuanzia usalama,mwendo speed ya kutosha ,uimara wa bodi lkn pia ipo corftable na ni luxury pia ,gari hii ina viti vitano kwa ndani uzalishaji wake ulianza mwaka 1994,upande wa umbo inakuja na maumbo mawili ambayo ni saloon na station wagon ,station wagoni inajulikana kwa jina la Avant

[emoji3533]Umbo la gari ni Saloon

[emoji3533]Extras:Sunroof

[emoji3533]Safety Features:ABS, Adaptive Cruise Control, [emoji3533]Adaptive Headlights, Audi Lane Assist, Audi Side [emoji3533]Assist, Curtain Airbags, EBD, Knee Airbags, side [emoji3533]airbags, SRS Airbags, Traction Control

[emoji3533]Exterior Features:Alloy Rims, Daytime Running [emoji3533]LIghts, Fog Lights

[emoji3533]Interior Features:Bluetooth Connectivity, Touch [emoji3533]Screen Entertainment System


MAELEZO

Hii ni gari maalumu ambayo imeundwa kwa ajili ya kutumiwa na watu wa tabaka la chini ukinunua gari hiii umemaliza kila kitu kwenye wese inanusa tu ,


Audi A4 ya mwaka 2014 inaangukia katika kizazi kinachoitwa B8 generation uzalishaji wake ulianza mwaka 2008 hadi 2016 kama ilivyo kawaida ya wajerumani kuoenda magari yenye umbo kubwa predecessors. Linapokuja swala la ufanisi hasa wa nguvu ya injini hapa tunaona makundi mawili ambayo yanajulikana kama Audi S4 na Audi RS4. A4 wanakuja na offer ya 2WD au 4WD( Known as Quattro)


2014 Audi A4 Engine Options


[emoji123]Petrol

1. The 1.8 Litre TFSI Petrol Engine

2. The 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol Engine

3. The 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol Engine

4. The 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Supercharged Petrol Engine

[emoji3533]Diesel

1. The 2.0 TDI Diesel Engine

2. The 2.0 TDI Quattro Diesel Engine

1. The 3.0 Litre TDI Quattro Diesel Engine


Ukiwa na gari za wababe wa teknolojia hakuna haja ya kuumiza kichwa maana maajabu yake yanasimuliwa mpk bablon,newyork ,cansablaka,colombia ,na kwa wala bata spain …...ni gari ambayo very economic sana lkn ina nguvu ya kutosha


[emoji123]Transmission

1. 6-Speed Manual Transmission

2. Multitronic CVT

3. Tiptronic


Kama unapenda kuiendesha kama sport car chukua manual yaani hapa timu alteza na subaru na mark x watakuwa hawakufati kabisa

Kama wewe upo vizuri mfukoni mstarabu sio bahili mfukoni chukua Triptronic yaaani hapa utanishukuru ila uijari sana kwene service hasa oil


Audi A4 Grades

Zipo nne lkn zote ni moto aisikwambie mtu


[emoji3533]Audi A4 SE – Toleo hili ni basic grade linakuja na size ya 15-Inch alloy rims, manual AC, Bluetooth, plain steering wheel na halogen clear headlights.


[emoji3533]Audi A4 SE Technik – toleo hili linakuja na nyonheza ya front rear parking sensors, cruise control na standard suspension


[emoji3533]Audi A4 S Line – Toleo hili ni sports grade linakuja na nyongeza ya 18-Inch alloy rims, sports suspension and S Line badging


[emoji3533]Audi A4 Black Edition – Toleo hili ni la wenye pesa zao grades improves on the S Line grade by adding matte black finishing, alluminium pedals, flat bottomed steering wheel and piano black inserts on the dashboard.


2014 Audi A4 Interior

Legroom and Space

Kwa upande wa ndani wa gari hii ukifungua mlango tegemea kuona kukutana na viti ambavyo ni comfortable ,nafasi ya kutosha ya kuweka miguu

[emoji3533]first row, legroom yake iko poa sana great for both driver and passenger ikiwa na nafasi ya kutosha desired.

[emoji3533]second raw, upande wa legroom inafanana na viti vya mwanzo the seats are well elevated and extra padded


[emoji91]Extras: Sunroof, Bang and Olufsen sound system


[emoji91]2014 Audi A4 Safety Features: SRS airbags, knee airbags, side airbags, curtain airbags, ABS, EBD, Traction Control, Audi Lane Assist, Audi Side Assist, Adaptive Headlights, Adaptive Cruise Control


2014 Audi A4 Fuel Consumption

Hapa ndipo utakubaliana na mimi kuwa mjerumani hakuwahi na haitakuja kutokea kakoseà wanajitahidi kukocopy timu x lkn wanachemka


[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Petrol fuel inatumia km21.2 Kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol fuel inatumia km : 20.0 Kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol fuel inatumia km : 20.4 Kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Petrol fuel inatumia km 16.0 Kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TDI Diesel fuel inatumia km 26.0 Kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 2.0 TDI Quattro Diesel fuel inatumia km : 24.6 kwa lita 1


[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TDI Quattro Diesel fuel inatumia km: 18.2 Kwa lita 1


Kama hauaminia andamana huyu ni myama Aud A4 ,ENGINE za dizel zinanikosha sana ziko fire asikwambie mtu hata petrol ni moto ,hapa ndio utakubalina na mm kwa dunia ya sasa CC za gar haxina uhusiano na ulaji wa mafuta watu wanaumiza vichwa maabara ili maisha yawe rahisi….mlio kariri endeleeni kukariri ila European car zinaraha yake



ACCELERETION

Cjui nielezeee au nipotezeee tu maaana engine ni nyingi mno kuzifafanua zoet ngoja nikufokeze engine chache



[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.6 sec.


[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.6 sec.


[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.2 sec.


[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 6.5 sec.


[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TDI Diesel accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 9.4 sec.


Kwa uchache engine nyingine sizielezei mtanisamehe sana muda nawahi uwanja wa mkapa simba nguvu moja [emoji123]


[emoji3533]Audi A4 Fuel Tank Capacity: 61 Litres


[emoji91][emoji91]Audi A4 Ground Clearance

2014 Audi A4 uvungu wake ni ground clearance of 4.2 inches(108mm) ipo chini sana ili kuipa balance inapokuwa inapaa kwenye barabara[emoji23][emoji23][emoji23] hata ikitokea ajali isiweze kuanguka kifo cha mende ...ukinunua usifanye maujanja ya kuinua utaharibu kabisa kwa huyu mnyama


[emoji91][emoji91]Audi A4 Stability and Handling


Hapanacha ninipime mapema nigonge cha mkoloni andaa kamusi yako english to kiswahili


The Audi A4 drives and handles superbly with no hint of instability even at high speed. The ground clearance is an issue on this car and you have to maneuver carefully on speed bumps and potholes


AUDI RELIABILITY

hii gari haina huruma kabisa kwa mtu ambaye ni bahili hapendi kuihudumia kama inavyotakiwa kama kufanya service kwa wakati ,kuweka oil sahihi ...ukiwa bahili kwa gari hii tegemea kuona haya matatizo kwenye gari lako

[emoji3549]1. Engine Warning Light

[emoji3549]2. Transmission problems

[emoji3549]3. Engine Failure

[emoji3549]4. Sensor problems


2014 Audi A4 Competitors: wa gari hii ni Toyota Mark X, Subaru Legacy, Mazda Atenza, BMW 3 Series, Mercedes C-Class, Subaru Outback na VW Passat


BEI YAKE NI MILION 24 UKIAGIZA JAPANI JUMLA NA USAJILI UNAIKAMATA


Kwa nini ununue gari hiii

1. Spacious

2. Executive design

3. A wide choice of engines
Audi A4 vs BMW 320i ipi chombo kali kwa speed, comfortability, fuel consumption etc
 
Kuna mshakji ameniambia ye ameagiza bmw 320i m-spot huko Singapore nikapata mashaka khs quality za gari za huko Singapore chief
usidanganyike na gari za sinapore ....zina review mbovu sana usome feedback za waliokwisha nunua kwenye reputable websites
 
Habarini za leo JF,

Naombeni msaada wenu,

Mwenye kuijua vizuri AUDI A4 hii gari nisije nikaingia kichwa kichwa nataka kujua mapungufu yake makubwa, je spear zinapatikana na ubora wake pia najua humu kuna watu wa aina tofauti wenye ujuzi.

Naombeni msaada wenu.

View attachment 415388
Achana nayo. Ukilinunua imekula kwako. Ni ndoa ya kikristo.
 
na KIMOMWE MOTORS (T) LTD

Utangulizi
Hapa tunazungumzia sedan iliyotoka miaka ya 2010- 2013 baada ya ile model ambayo pia ilikubalika na vijana wengi iliyodumu kuanzia 2002 mpaka 2009 huku ikichukuliwa kama mbadala wa Subaru Legacy B4.

Injini
Hizi gari zina injini 2 tofauti huku moja ikiwa na Cc 1800 yenye kukadiriwa kwenda mpaka km 14 kwa lita wakati ya Cc 2000 ikikadiriwa kwenda mpaka km 12 kwa lita.

Vifaa
Kwa kua hii bado ni gari mpya hapa Tanzania, vifaa vyake vinapatikana kwa kutafuta kidogo huku vikiwa na gharama juu japo sifa yake ni kwamba ukifunga unasahau.

Ziada katika gari hii.
Camera za mbele na nyuma za kurekodi matukio hata gari inapokua imepaki huku yakihifadhiwa katika Memory Card.

Airbag 6 zinazosaidia sana katika usalama wa abiria nyakati za ajali wakati gari nyingi tulizozoea zina airbag 2.

Parking sensor 4 nyuma pekee zinazotoa nafasi nzuri kwa dereva kutogonga wakati anarudi nyuma.

Fm Radio inayosoma mpaka chanel 107 wakati tulizozoea zinaishia 90.

Kupima oil na hydraulic ya gia box kwa kusoma katika screen yako kwenye dashboard.

Gari inakujulisha km zilizobaki kabla ya service inayofuata kila unapotaka kuiwasha.

Hizi zote zinakuja na viti vya ngozi.

Uzito wa gari hii ni tani 1.5 inayoiwezesha kwenda mwendo mkali bila kutetereka.

Speed 280 huku ikiwa na gia 8.

Nyingi ya gari hii zina booster kwenye boot inayowezesha mziki kutoka mkubwa na mzuri.

Matundu ya AC ya nyuma kupeleka baridi kwa abiria wa nyuma.

Gharama
Kwa wastani kuagiza gari hii kutagharim kati ya 19m- 23m kutegemea na show ya gari, na muuzaji husika.

Maoni na Ushauri
Gari hii ni nzuri sana kwa mtu mwenye kipato cha juu kwa kua ikipata changamoto ya ufundi utaweza kuitengeneza bila wasi...sababu kuu ni kwamba vifaa vyake bado ni vichache sana hivyo gharama ni juu.

kwa wingi gari hizi zinapatikana soko la Singapore ila tunashauri utafute inayotokea Japan kwa kua singapore sio wazuri sana kwenye service za magari na pia wana matumizi mabovu hivyo kuweza kukufanya upate gari inayohitaji marekebisho makubwa.

PhotoGrid_Plus_1614932337194.jpg
IMG-20210305-WA0004.jpg
IMG-20210305-WA0003.jpg
IMG-20210305-WA0000.jpg
IMG_20210302_164511_8.jpg
IMG_20210302_164429_2.jpg
IMG_20210302_164457_5.jpg
IMG_20210302_164549_9.jpg
 
4th generation Audi A4 B8 ilianza kuuzwa 2009 tajiri.

Sorry mkuu nina swali: Mkisemaga model mpya mnamaanishaga nini? Maana kuna model nyingine inafuatia ya 2016 hapo (B9).

Edited: Hafu nadhani A4 anapambana na 3 series na C class sio na Legacy. Hii model inapambana na 3 series E90 (2006-2013) au Benz C Class 3rd generation W204 (2007-2015).
 
Back
Top Bottom