Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Model ipi? / Toleo la mwaka gani? - Hizi ni taarifa mbili muhimu ambazo inatakiwa zifahamike kwanza.AUDI naomba kujua uzuri na ubaya wake
Wale wa fuel consumption wakae humu hasa kwenye audi ndogo ndogo hizi kina A3Model ipi? / Toleo la mwaka gani? - Hizi ni taarifa mbili muhimu ambazo inatakiwa zifahamike kwanza.
Ila kimsingi AUDI ni nzuri, gari zake ni imara, Tatizo liko kwetu tumekariri kampuni ya Toyota zaidi.
Nyongeza , imeingia nchini lini. Usikute anataka kumsukumia "matatizo"Model ipi? / Toleo la mwaka gani? - Hizi ni taarifa mbili muhimu ambazo inatakiwa zifahamike kwanza.
Ila kimsingi AUDI ni nzuri, gari zake ni imara, Tatizo liko kwetu tumekariri kampuni ya Toyota zaidi.
Hio Audi A8 R8 inunue tu mkuu.Jaman habari ya saa hizi? Sorry kuna mtu anataka kuniuzia AUDI naomba kujua uzuri na ubaya wake
[emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]haha we jamaa umetishaTena zile E class za 2012- wanazo nyingi zinavutia sana. Usithubutu, chukua Japan au Europe kwenyewe.
Waaminifu kama Befoward kwamba ukituma hela utapata gari yako.
Sio uaminifu wa hela. Yani hiyo link ndio kwa Sinagpore wanauza magari yenye ubora na sio mabovu kama ulivyosema hapo juu?Waaminifu kama Befoward kwamba ukituma hela utapata gari yako.
Kila mahali kuna magari mabovu na mazima. Haina maana magari yote ya Singapore ni mabovu au yote ya Japan mazima.Sio uaminifu wa hela. Yani hiyo link ndio kwa Sinagpore wanauza magari yenye ubora na sio mabovu kama ulivyosema hapo juu?
Swali lingine.....ili kusema gari ya nchi fulani ni mbovu inabidi baada ya kuipokea uiendeshe au uitumie kwa muda gani au kilometa ngapi then likiharibika before hapo ndio utasema kweli gari za Singapore au Japan au Dubai au United Kingdom ni kimeo???
Maana pia Bandari kuna mikangafu kibao kutoka Japan mingine mpaka inavutwa yani imegoma kutembea.
Mikweche mingine ya Japan unaiona hata barabarani ya mkweche una namba D ila sasa unaambiwa imeingia nchini ina kama miezi 2
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Aah sawa nimekupata.Kila mahali kuna magari mabovu na mazima. Haina maana magari yote ya Singapore ni mabovu au yote ya Japan mazima.
Ni probability. Japan ni afadhali kuliko Singapore. Pia maneno yangu si sheria. Inaweza kuwa niko wrong vile vile.
Labda ni kweli maanake gari za Singapore ni nafuu kuliko Japan ukichukua same make same age.Aah sawa nimekupata.
Nadhani pia jambo la muhimu kuongeza ni kua watu wasipende kuchagua 'the cheapest of them all'
Mfano ktk mnada husika range ya gari fulani ni dola 500 -3,500.....wamatumbi wengi wanakimbilia la Dola 500......nadhani probability ya kununua mkweche inakua kubwa. Au nakosea?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Singapore hakuna kitu mkuu sio swala la watu kupenda vya bei ndogo shida mengi yao unayakuta na mechanical complaints asilimia kubwa. Tofauti kidogo na japanese cars fanya uchunguzi kwa importers wa magari ulete mrejesho hapaLabda ni kweli maanake gari za Singapore ni nafuu kuliko Japan ukichukua same make same age.
Kawaulize impoters wanaoingiza gari bongo utapata ufahamu na sio kila mtu ananunua stock cheap. It seems unaongelea biashara ya magari bila kuwa na uelewa nayoSasa mbona asilimia kubwa kama sio yote ya mikweche tunayoiona road ni kutoka Japan?
Unanunua kitu cheap unategemea 'an almost-brand -new-quality'
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu most of them yanakuwa na mechanical complaintsHili nalijua vizuri sana. Kuna watu wengi wanakuja kwangu na shida za magari kutoka Singapore. Mamilioni yanawatoka.
kaka hebu tupatie gari za mzungu ambazo zina cc kubwa lakin ualaji wake wa mafuta ni rahis has kwa maisha yetuAUDI A4
Audi ni brand ambayo imundwa kutoka ujerumani european car ,ambayo brand hii kwa muda mrefu sasa ipo bongo , wengi wanaogopa european car kutokana na gharama za kununua gari ziko juu lakini ukinunua unafurahia imekaza kila idara ,kuanzia usalama,mwendo speed ya kutosha ,uimara wa bodi lkn pia ipo corftable na ni luxury pia ,gari hii ina viti vitano kwa ndani uzalishaji wake ulianza mwaka 1994,upande wa umbo inakuja na maumbo mawili ambayo ni saloon na station wagon ,station wagoni inajulikana kwa jina la Avant
[emoji3533]Umbo la gari ni Saloon
[emoji3533]Extras:Sunroof
[emoji3533]Safety Features:ABS, Adaptive Cruise Control, [emoji3533]Adaptive Headlights, Audi Lane Assist, Audi Side [emoji3533]Assist, Curtain Airbags, EBD, Knee Airbags, side [emoji3533]airbags, SRS Airbags, Traction Control
[emoji3533]Exterior Features:Alloy Rims, Daytime Running [emoji3533]LIghts, Fog Lights
[emoji3533]Interior Features:Bluetooth Connectivity, Touch [emoji3533]Screen Entertainment System
MAELEZO
Hii ni gari maalumu ambayo imeundwa kwa ajili ya kutumiwa na watu wa tabaka la chini ukinunua gari hiii umemaliza kila kitu kwenye wese inanusa tu ,
Audi A4 ya mwaka 2014 inaangukia katika kizazi kinachoitwa B8 generation uzalishaji wake ulianza mwaka 2008 hadi 2016 kama ilivyo kawaida ya wajerumani kuoenda magari yenye umbo kubwa predecessors. Linapokuja swala la ufanisi hasa wa nguvu ya injini hapa tunaona makundi mawili ambayo yanajulikana kama Audi S4 na Audi RS4. A4 wanakuja na offer ya 2WD au 4WD( Known as Quattro)
2014 Audi A4 Engine Options
[emoji123]Petrol
1. The 1.8 Litre TFSI Petrol Engine
2. The 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol Engine
3. The 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol Engine
4. The 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Supercharged Petrol Engine
[emoji3533]Diesel
1. The 2.0 TDI Diesel Engine
2. The 2.0 TDI Quattro Diesel Engine
1. The 3.0 Litre TDI Quattro Diesel Engine
Ukiwa na gari za wababe wa teknolojia hakuna haja ya kuumiza kichwa maana maajabu yake yanasimuliwa mpk bablon,newyork ,cansablaka,colombia ,na kwa wala bata spain …...ni gari ambayo very economic sana lkn ina nguvu ya kutosha
[emoji123]Transmission
1. 6-Speed Manual Transmission
2. Multitronic CVT
3. Tiptronic
Kama unapenda kuiendesha kama sport car chukua manual yaani hapa timu alteza na subaru na mark x watakuwa hawakufati kabisa
Kama wewe upo vizuri mfukoni mstarabu sio bahili mfukoni chukua Triptronic yaaani hapa utanishukuru ila uijari sana kwene service hasa oil
Audi A4 Grades
Zipo nne lkn zote ni moto aisikwambie mtu
[emoji3533]Audi A4 SE – Toleo hili ni basic grade linakuja na size ya 15-Inch alloy rims, manual AC, Bluetooth, plain steering wheel na halogen clear headlights.
[emoji3533]Audi A4 SE Technik – toleo hili linakuja na nyonheza ya front rear parking sensors, cruise control na standard suspension
[emoji3533]Audi A4 S Line – Toleo hili ni sports grade linakuja na nyongeza ya 18-Inch alloy rims, sports suspension and S Line badging
[emoji3533]Audi A4 Black Edition – Toleo hili ni la wenye pesa zao grades improves on the S Line grade by adding matte black finishing, alluminium pedals, flat bottomed steering wheel and piano black inserts on the dashboard.
2014 Audi A4 Interior
Legroom and Space
Kwa upande wa ndani wa gari hii ukifungua mlango tegemea kuona kukutana na viti ambavyo ni comfortable ,nafasi ya kutosha ya kuweka miguu
[emoji3533]first row, legroom yake iko poa sana great for both driver and passenger ikiwa na nafasi ya kutosha desired.
[emoji3533]second raw, upande wa legroom inafanana na viti vya mwanzo the seats are well elevated and extra padded
[emoji91]Extras: Sunroof, Bang and Olufsen sound system
[emoji91]2014 Audi A4 Safety Features: SRS airbags, knee airbags, side airbags, curtain airbags, ABS, EBD, Traction Control, Audi Lane Assist, Audi Side Assist, Adaptive Headlights, Adaptive Cruise Control
2014 Audi A4 Fuel Consumption
Hapa ndipo utakubaliana na mimi kuwa mjerumani hakuwahi na haitakuja kutokea kakoseà wanajitahidi kukocopy timu x lkn wanachemka
[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Petrol fuel inatumia km21.2 Kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol fuel inatumia km : 20.0 Kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol fuel inatumia km : 20.4 Kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Petrol fuel inatumia km 16.0 Kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TDI Diesel fuel inatumia km 26.0 Kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 2.0 TDI Quattro Diesel fuel inatumia km : 24.6 kwa lita 1
[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TDI Quattro Diesel fuel inatumia km: 18.2 Kwa lita 1
Kama hauaminia andamana huyu ni myama Aud A4 ,ENGINE za dizel zinanikosha sana ziko fire asikwambie mtu hata petrol ni moto ,hapa ndio utakubalina na mm kwa dunia ya sasa CC za gar haxina uhusiano na ulaji wa mafuta watu wanaumiza vichwa maabara ili maisha yawe rahisi….mlio kariri endeleeni kukariri ila European car zinaraha yake
ACCELERETION
Cjui nielezeee au nipotezeee tu maaana engine ni nyingi mno kuzifafanua zoet ngoja nikufokeze engine chache
[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.6 sec.
[emoji91]2014 Audi A4 1.8 Litre TFSI Quattro Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.6 sec.
[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TFSI Quattro Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 8.2 sec.
[emoji91]2014 Audi A4 3.0 Litre TFSI Quattro V6 Petrol accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 6.5 sec.
[emoji91]2014 Audi A4 2.0 Litre TDI Diesel accelerates inatoka 0-100 km/h kwa 9.4 sec.
Kwa uchache engine nyingine sizielezei mtanisamehe sana muda nawahi uwanja wa mkapa simba nguvu moja [emoji123]
[emoji3533]Audi A4 Fuel Tank Capacity: 61 Litres
[emoji91][emoji91]Audi A4 Ground Clearance
2014 Audi A4 uvungu wake ni ground clearance of 4.2 inches(108mm) ipo chini sana ili kuipa balance inapokuwa inapaa kwenye barabara[emoji23][emoji23][emoji23] hata ikitokea ajali isiweze kuanguka kifo cha mende ...ukinunua usifanye maujanja ya kuinua utaharibu kabisa kwa huyu mnyama
[emoji91][emoji91]Audi A4 Stability and Handling
Hapanacha ninipime mapema nigonge cha mkoloni andaa kamusi yako english to kiswahili
The Audi A4 drives and handles superbly with no hint of instability even at high speed. The ground clearance is an issue on this car and you have to maneuver carefully on speed bumps and potholes
AUDI RELIABILITY
hii gari haina huruma kabisa kwa mtu ambaye ni bahili hapendi kuihudumia kama inavyotakiwa kama kufanya service kwa wakati ,kuweka oil sahihi ...ukiwa bahili kwa gari hii tegemea kuona haya matatizo kwenye gari lako
[emoji3549]1. Engine Warning Light
[emoji3549]2. Transmission problems
[emoji3549]3. Engine Failure
[emoji3549]4. Sensor problems
2014 Audi A4 Competitors: wa gari hii ni Toyota Mark X, Subaru Legacy, Mazda Atenza, BMW 3 Series, Mercedes C-Class, Subaru Outback na VW Passat
BEI YAKE NI MILION 24 UKIAGIZA JAPANI JUMLA NA USAJILI UNAIKAMATA
Kwa nini ununue gari hiii
1. Spacious
2. Executive design
3. A wide choice of engines
kaka hebu tupatie gari za mzungu ambazo zina cc kubwa lakin ualaji wake wa mafuta ni rahis has kwa maisha yetu
Unaweza changanya brand mbalimbali kulingana na unazozifaham ili tuachane kabisa na hawa wajapanaiaee
ok okLand rover Discovery nazikubali Sana kwenye upande wa mafuta Kwa kweli inakula kawaida Sana na balaa lake ni kubwa barabarani, angalizo hapa nazungumzia ya dizel , mm natoa uziefu wa disco 2