Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Kwamba wasingapore hua hawatunzi vizuri magari mkuu auNashukuru umezungumzia weakness wa gari za Singapore. Huyo jamaa yako soon atakulaumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wasingapore hua hawatunzi vizuri magari mkuu auNashukuru umezungumzia weakness wa gari za Singapore. Huyo jamaa yako soon atakulaumu.
Kinacho nifanye huwa nipate mashaka na gari za singapore ni bei zake kuwa chini sana. Hili la kuwa gari zao nyingi huwa zinazingua nimelisikia kwa wadau wengi sanaKwamba wasingapore hua hawatunzi vizuri magari mkuu au
Yeah...najua watu wengi sana wameleta gari from Singapore hizi Euro makes wamekiona cha moto. Wapo ambao engine zimekufa ndani ya muda mfupi,wapo ambao gearbox zimekufa kabla hata ya kufika nyumbani. Sasa zile ambazo vitu vidogo kama water pump au radiator zinavuja hazihesabiki.Kwamba wasingapore hua hawatunzi vizuri magari mkuu au
Tena zile E class za 2012- wanazo nyingi zinavutia sana. Usithubutu, chukua Japan au Europe kwenyewe.Kinacho nifanye huwa nipate mashaka na gari za singapore ni bei zake kuwa chini sana. Hili la kuwa gari zao nyingi huwa zinazingua nimelisikia kwa wadau wengi sana
Nafikiri pia huenda Singapore kuna uhuni wanao fanya kwenye gari zao. Unakuta E Class imesimama vibaya alafu bei yake sasa hadi unaogopa 😀😀😀 na unakuta hata kwa uzaji, wanaweka kabisa maelezo kuwa hawana uhakika na gari za singapore lolote likitokea wao hawa husiki, Mechanical parts za gari nyingi kutoka singapore wengi hulia. Gari za uhakika used JapanTena zile E class za 2012- wanazo nyingi zinavutia sana. Usithubutu, chukua Japan au Europe kwenyewe.
Halafu zote unakuta mileage 40,000km ukikuta ina mileage kubwa 50,000km. Afadhali umejua mapema.Nafikiri pia huenda Singapore kuna uhuni wanao fanya kwenye gari zao. Unakuta E Class imesimama vibaya alafu bei yake sasa hadi unaogopa 😀😀😀 na unakuta hata kwa uzaji, wanaweka kabisa maelezo kuwa hawana uhakika na gari za singapore lolote likitokea wao hawa husiki, Mechanical parts za gari nyingi kutoka singapore wengi hulia. Gari za uhakika used Japan
Duuh aisee mimi nilikua nazipenda sana gari za singapore haswa BMW 3 Series zao zinapendeza sana kwa macho...Yeah...najua watu wengi sana wameleta gari from Singapore hizi Euro makes wamekiona cha moto. Wapo ambao engine zimekufa ndani ya muda mfupi,wapo ambao gearbox zimekufa kabla hata ya kufika nyumbani. Sasa zile ambazo vitu vidogo kama water pump au radiator zinavuja hazihesabiki.
Gari za Singapore nzuri sna kwa muonekano ila ubora uko chini sana. Ukitaka gari za Euro nje ya Euro chukua Japan.
Kuwa makini sana.Duuh aisee mimi nilikua nazipenda sana gari za singapore haswa BMW 3 Series zao zinapendeza sana kwa macho...
Ni kweli mkuu maana unakuta BMW 3 Series ya 2010 au 2012 CIF $3500-3900...Kinacho nifanye huwa nipate mashaka na gari za singapore ni bei zake kuwa chini sana. Hili la kuwa gari zao nyingi huwa zinazingua nimelisikia kwa wadau wengi sana
Na gari zao huwa wana weka picha nyingi sana unakuta picha zaidi ya 55 na zingine huwa zinafika hata 117, kwa mtu anae angali picha bila kupata info zingine anaumia, unakuta gari bado inang'aa hatari nje na ndaniKuwa makini sana.
Nipe link inayoaminika ya kununua gari singapore yaani kama befoward kwa japan.Tena zile E class za 2012- wanazo nyingi zinavutia sana. Usithubutu, chukua Japan au Europe kwenyewe.
Na gari zao huwa wana weka picha nyingi sana unakuta picha zaidi ya 55 na zingine huwa zinafika hata 117, kwa mtu anae angali picha bila kupata info zingine anaumia, unakuta gari bado inang'aa hatari nje na ndani
Nipe link inayoaminika ya kununua gari singapore yaani kama befoward kwa japan.Tena zile E class za 2012- wanazo nyingi zinavutia sana. Usithubutu, chukua Japan au Europe kwenyewe.
Nipe link inayoaminika ya kununua gari singapore yaani kama befoward kwa japan.
😀😀😀 Singapore hawaaminiki mkuu pia sina link ya singapore na hata nikiona gari location singida naruka chap, kama unataka gari nje ya japan, chukua za Dubai na bei zapo zipo poa na hawana magumashi kama Singapore.Nipe link inayoaminika ya kununua gari singapore yaani kama befoward kwa japan.
Hivi kaka pale beforward nikiagiza gari kutoka UK au USA au Dubai gharama yake inakuwa ni kubwa zaidi au ni sawa tu na nikiagiza Japan?Nashukuru umezungumzia weakness wa gari za Singapore. Huyo jamaa yako soon atakulaumu.
Shukrani kwa nyongeza nzuri ya mawazo boss. Tukisema model mpya tunakua tunalenga uhalisia wa sisi watanzania kwamba tumetoka kumiliki zaidi gari zipi na sasa tumeingia gari zipi...mfano ukizungumzia Noah au harrier old models wengi wanaelewa ni zile za miaka ya 1990 mwishoni mpaka mwanzo wa miaka ya 2000. New model kwa watanzamia wengi imekua zile zilizoanzia 2003 mpaka 2009 ingawa ukizungumzia new model halisi zipo mpaka za miaka hii ya hivi karibuni.4th generation Audi A4 B8 ilianza kuuzwa 2009 tajiri.
Sorry mkuu nina swali: Mkisemaga model mpya mnamaanishaga nini? Maana kuna model nyingine inafuatia ya 2016 hapo (B9).
Edited: Hafu nadhani A4 anapambana na 3 series na C class sio na Legacy. Hii model inapambana na 3 series E90 (2006-2013) au Benz C Class 3rd generation W204 (2007-2015).
Hapo nimekusoma boss. Naipenda sana hii model.Shukrani kwa nyongeza nzuri ya mawazo boss. Tukisema model mpya tunakua tunalenga uhalisia wa sisi watanzania kwamba tumetoka kumiliki zaidi gari zipi na sasa tumeingia gari zipi...mfano ukizungumzia Noah au harrier old models wengi wanaelewa ni zile za miaka ya 1990 mwishoni mpaka mwanzo wa miaka ya 2000. New model kwa watanzamia wengi imekua zile zilizoanzia 2003 mpaka 2009 ingawa ukizungumzia new model halisi zipo mpaka za miaka hii ya hivi karibuni.
kuizungumzia legacy ni kwa sababu tulio wengi tumekua tukikwepa kabisa gari za ulaya na kwa waliokuja ofisini kwetu kutaka Audi A4 au Legacy hua wanazunguka hapo kwenye hizo gari 2 kwa sababu wanazoziona wao.
hakuna siku maalum boss ila tukipata nafasi mda wowote tutakuwekea maelezo ya hizi Toyota Kubwa kubwa pia...Shukrania kua nasi na usichoke kutufatiliaLini utazungumzia SUVs za Toyota?
Tafadhali sana usianze na kubwa kubwa,anza na crossovers.Nani wa kununua V8?au prado?hakuna siku maalum boss ila tukipata nafasi mda wowote tutakuwekea maelezo ya hizi Toyota Kubwa kubwa pia...Shukrania kua nasi na usichoke kutufatilia