Wadau ninasoma bachelor of science in chemistry sion future katika hii kozi naomb ushauri

Wadau ninasoma bachelor of science in chemistry sion future katika hii kozi naomb ushauri

Hivi kweli sie kama nchi are we serious watu wa mathematics chemistry physics wanakosaje kazi wakati miaka nenda rudi tunaonanjinsi palestina wana nyanyaswa na myahudi kisa science and technology.
Tz hamna institutes of advanced studies watu washushe matheories na namba ?
Tena hawa watu walitakiwa wakipata kazi nyumba gari wanapewa
Sayansi zenyewe hapa bongo zipo shallow sana na too theoretical.
Huyo anayesoma chemistry, kwa muda huu alitakiwa awe anafikiria Chemistry of explosives, weapons of mass destruction, Chemistry of natural products.

Alitakiwa awe anafikiria hata kutengeneza sumu ya ku-eliminate enemies, thieves etc.

Akiwa na maujuzi yote hayo atakosaje kazi? Si Hata Hezibollah, alqaeda au hata Israel watampa ajira?

Sasa bahati mbaya vijana wetu wapenda madesa wanaenda chuo kukua tu, elimu yetu ni shallow. Serikali inajisifia wingi wa wanafunzi vyuoni, bila kujali ubora wa elimu. Muda mwingine unawaza bora kijana angesomea ufundi magari tu akaajiriwe gereji au afungue car-wash
 
Kila sehemu ajira ni ngumu especially kama huna connection cha muhimu anza kujiandaa,kusanya mtaji ili ukimaliza ujichanganye mtaani
 
Kaka jitume Hiyo ni bonge la course kikubwa uwe mbunifu,

Mie ningesoma hiyo course haki sahivi ningekuwa Raytheon
 
Njoo tuendeshe wote bodaboda jombaa, 2015 nimemaliza UD same course
 
Wadau mimi ni mwanachuo nasom bachelor of science in chemistry mwaka wa pili lakini sioni future katika hii kozi kutokana na uhaba wa ajira na msoto wa waliomaliza naombeni ushauri
Ukiwa na akili ni binge la kozi hio,wauza sabuni mitaani ni chemistry,wachanganya rangi mitaani ni chemistry and physics plus math kwakua lazima ujue vipimo,wauza vinywaji wote wanategemea wakemia kufanya kazi zako.
Nakushauri wkt upo chuo tumia boom lako km mtaji anzisha biashara km hizo mpk ukimaliza utakua umepata network yakuendelea ulipoishia ila km boom lako unamalizia Kwa mademu and vitu non assets utazunguka sana na bahasha mtaani
 
Soma chemistry kijana demu wangu kamaliza chuo mwaka janaa kakaa mtaani miezi miwili tu saizi anakunja 1.2M take home. NB. Hakua na connection yeyote
 
Wadau mimi ni mwanachuo nasom bachelor of science in chemistry mwaka wa pili lakini sioni future katika hii kozi kutokana na uhaba wa ajira na msoto wa waliomaliza naombeni ushauri
Piga shule jamaa yangu future huwa inakuja baada ya kumaliza masomo, mimi pia nilikua muhanga kama wewe ila kwa sasa sijilaumu nawe itakua hivyo sababu hiyo bachelor ya chemistry inakubalika sehemu nyingi tu katika viwanda watu wengi wa ubora (quality) chemistry inaingia na sehemu nyinginezo ambazo kadri unavyozidi kusoma ndio utajua machaka zaidi
 
Back
Top Bottom