Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Bank wanaziiba mzee baba,kuna mchawi alitoa siri hiyo,jinsi wanavyoziibia bank,na wanasema kuna bank zinaweka matambiko wasiibiwe baadhi kama crdb huwa wanapata ugumu kuiba ila bank nyingine wanaziibia, ngoja nitaelezea story ilivyo ni story ndefu kidogo hawa wachawi hawana maanaBank hawezi ibaa ilaa pesa uliyonayo wewe ndo chuma ulete inabeba mkuu.. Usiwe mbishi kabisaa na weni chuma ulete huwa Wanakuja na style ya Kuomba chenjii..