Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika na ulisemalo?Mngoni tamaa ya pesa hana Ila sio ngono na hii nahisi inachangiwa na kuwapeleka watoto wadogo unyago na kuwafundisha mambo makubwa kuliko umri wao. Sasa ushamfundisha mtu ujuzi, unategemea akautumie wapi?..
Kwenye DNA, hapo inabidi tuwaangalie wasauzi maana huko ndipo walipotoka 😁
Sawa Binti ngonyaniWanasingiziwa!
Acha ubishi, unataka uwakute riverside ndio utaamini.Nitembee wapi ndani ya Tanzania Kuna wahindi wanajiuza?
kuchepuka na mhindi au baniani ni vigumu kupita kiasi, usiwasingizie, wale ni suala la dini kabisa akichepuka na maswahili sijui ataoga maji ya wapi na wakimgundua, wanamtenga na jamii yao.Ushawahi kujiuliza kwa nini kuna vidume vimeng'ang'ania kutumikishwa kama wa watumishi wa ndani
kwa wahindi japo wanalipwa mshahara kiduchu na kutumwa sokoni? Nenda mitaa ya Kisutu na Upanga
hapo Dar utete nao, watakueleza kinachowapa uvumilivu.😀😀
Sasa mbona umewatolea ushahidi?Hauna tofauti na yule aliyekariri kichwani kwamba hapa Tanzania wazungu na watu wenye albinism hawafi.Nitembee wapi ndani ya Tanzania Kuna wahindi wanajiuza?
Hii ni kweli.kuchepuka na mhindi au baniani ni vigumu kupita kiasi, usiwasingizie, wale ni suala la dini kabisa akichepuka na maswahili sijui ataoga maji ya wapi na wakimgundua, wanamtenga na jamii yao.
Tupe experience ya wanawake wangoni lo!
Tunasema Ngoma itambae😅😅Kwani wangoni wenyewe mnasemaje?