Wadau tujadili na kujifunza, ni kweli wanawake wa Kingoni wana hulka ya umalaya hata kama ni msomi?

Wadau tujadili na kujifunza, ni kweli wanawake wa Kingoni wana hulka ya umalaya hata kama ni msomi?

Jamani mimi binafsi ni bombiii nyumbii, dada zangu ni watulivu sana isitoshe umalaya ni tabia ya mtu ukisema wadada wa kingoni ni malaya unakosea uyo daktari ana mambo yake ivyo musiusishe na wengine wote wangoni
 
Ungefika india ungeona dada poa wa kihindi na huko uwarabuni wanajiuza full mabaibui
Umalaya ni tabia,kama zilivo wizi,uvivu
Kuna contribution ya tabia kulingana na Mila na desturi za jamii Fulani
1.Ushwahi ONA dada wa kihindi au kiarabi ana danga au anadhulumu pesa za wanaume wanaomtumia sababu ya kukutana?,.....ni saabu Mila zao haziwalei hivyo.
Vivo hivyo kwa tabia zingine zinazooneshwa na wadada wa kibantu
 
Back
Top Bottom