Wadau tujadili na kujifunza, ni kweli wanawake wa Kingoni wana hulka ya umalaya hata kama ni msomi?

Una uhakika na ulisemalo?
 
kuchepuka na mhindi au baniani ni vigumu kupita kiasi, usiwasingizie, wale ni suala la dini kabisa akichepuka na maswahili sijui ataoga maji ya wapi na wakimgundua, wanamtenga na jamii yao.
 
kuchepuka na mhindi au baniani ni vigumu kupita kiasi, usiwasingizie, wale ni suala la dini kabisa akichepuka na maswahili sijui ataoga maji ya wapi na wakimgundua, wanamtenga na jamii yao.
Hii ni kweli.
Wale hata kuzaa nje ya ndoa, unatengwa.
Sio kwa mweusi mwanamke anazaa bila mme, anapeleka mtoto home maisha yanaendelea.
 
Ni kweli wanapenda ngono sana ila sijui kama ni malaya.
Kuna mmoja nilikuwa nae nikiwa chuo anatokea mbinga japo anakana yeye sio mngoni ila anapenda mapenzi kuliko chakula.

Kitabia yuko vizuri sana hana tamaa kabisa na ni mvumilivu.
 
Mimi nimekaa kwa kiasi na Wangoni ninachojua bora akose chakula lakini asikose ngoma wanapenda mziki kuliko ukiona Harusi ya Mngoni haina ngoma ujue wa mjini huyo
 
Siwafahamu ila ungeandika Wapare ningesema ni kweli
 
Why ngoni bebeee? They walk majestically 😛😛
Acheni kuwachafua kina binti ngonyani, mapunda nk. Umalaya sio shida zao kabisa. Nina mashosti wakingoni wametulia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…