Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

Ila ni kweli. Watanzania tubadilike. Matajiri wa kati wa kibongo wengi wao hawapendi kusaidia ndugu zao. Hujilimbikizia mali ili kutafuta sifa ndani ya familia, ukoo na jamii kwa ujumla.

Kinachokera katika ukoo! Ikitokea labda msiba au magonjwa, matajiri wa ukoo huweka viwango flat vya mchango wakati vipato vinatofautiana kwa wanaukoo!

Matajiri wa kibongo wanafki sana. Mtu ana biashara ya kumuingizia faida laki tano kwa siku, ila ukikutana nae analia njaa, eti hali ngumu. Yaani anafanya defensive mechanism. Anahisi utamuomba hela.

Dawa ni kupambana tu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 

Huu upumbavu ndio ulinifanya had leo nizalau waumin wengi. Yan padri anakwambia usimchangie mtu mwenye shida na ninyi mnakaa kimya tu!? Kisa kiongozi wa kanisa kasema!? Huo ni utumwa wa hali ya juu
 
Ulevi na Umalaya hupelekea umaskini.

Hiyo ni kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu.
 
Ila hali ni tete,kuna watu wanakosa hata jero la kuchekia mpira banda umiza
 
Hakuna starehe kubwa Kama kutest mitambo uliyoigundua kwaakili yako kiongozi yuopo sahihi hataingekua Mimi eti niigundue sukhoi55 alafu nisianzishe Vita weee nanikasema
 
Kwa hiyo serikali ya fisiemu inaomba msaada kwa wanyonge wa danganyika......huko arabuni kapu limeshindikana kujaa. Watu wakiambiwa wakae pembeni wanaona wanaonewa.........twende tu mdogo mdogo tutafika.
 
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake...
 
Kama ulikua huna uwezo wa kuhudumia familia yako (mke na watoto wako) kwanini ulioa? Au kwanini ulizaa watoto wengi kuliko uwezo wako? Kuna familia duni nazifahamu, kila mwaka wanafyetua watoto. Wamepangana watano na wanapishana kama mwaka hadi mwaka na nusu. Mimi nina mtoto mmoja, niliona bora niwe na mtoto ninayeweza kumhudumia na kunywa pombe. Leo uniambie nisinywe pombe nikasaidie kutunza familia kama hiyo?
 
kuna mtu nilimuona analipia wine bar tsh 180,000. Toka siku iyo nikaacha kabisa kwenda bar... ni uwendawazimu
Wengine wananunua nyapu inayofanana na ya mkewake nyumbani kwa mamilioni ya pesa kisa tuu ni mpya kwake ilihali ni used wa wengine
 
Mimi napingana na wewe...hao unaowaita wenye hali ngumu ndio wachawi wetu huku mitaa ya uswaz..ukivaa vizuri ukapendeza roho zinawauma sana..nasema hivi hakuna kuwasaidia wacha wafe by Robert heliel..
 
Kwaresma njema mkuu,asante kutukumbusha
 
wanywaji na walevi tuna roho nzuri sana....Tujipongeze kwa hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…