Ila ni kweli. Watanzania tubadilike. Matajiri wa kati wa kibongo wengi wao hawapendi kusaidia ndugu zao. Hujilimbikizia mali ili kutafuta sifa ndani ya familia, ukoo na jamii kwa ujumla.
Kinachokera katika ukoo! Ikitokea labda msiba au magonjwa, matajiri wa ukoo huweka viwango flat vya mchango wakati vipato vinatofautiana kwa wanaukoo!
Matajiri wa kibongo wanafki sana. Mtu ana biashara ya kumuingizia faida laki tano kwa siku, ila ukikutana nae analia njaa, eti hali ngumu. Yaani anafanya defensive mechanism. Anahisi utamuomba hela.
Dawa ni kupambana tu!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kinachokera katika ukoo! Ikitokea labda msiba au magonjwa, matajiri wa ukoo huweka viwango flat vya mchango wakati vipato vinatofautiana kwa wanaukoo!
Matajiri wa kibongo wanafki sana. Mtu ana biashara ya kumuingizia faida laki tano kwa siku, ila ukikutana nae analia njaa, eti hali ngumu. Yaani anafanya defensive mechanism. Anahisi utamuomba hela.
Dawa ni kupambana tu!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app