Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

Hiyo pesa mtu anayotumia kununua pombe kwani inapotea? Kuna watu kibao wa hali ya chini wameajiriwa /wamejiajiri kwenye sekta hiyo. Wanahudumia family zao, wanasomesha watoto wao, wanasaidia wazazi wao nk. Vile vile kodi nyingi inakusanywa inayotumika kuboresha huduma za afya, miundombinu nk.
 
Back
Top Bottom