Wadau tusaidiane, mbinu gani nitumie kuisahau timu ya taifa?

Wadau tusaidiane, mbinu gani nitumie kuisahau timu ya taifa?

Kutokana na kuipa umuhimu mkubwa timu yangu ya taifa, nmejikuta nmepata maumivu makubwa sana. Nahuisi ni depression na sonona. Kila nikiona uzi au post ya taifa stars popote kule naumia zaidi. Sasa wadau tusaidiane mbinu gani nitumie nisiendelee kuumia.
Kuwa kama mmi tu, usiishabikie wala kuiangalia ichezapo
 
Hawajui aisee.

Ndio maana mpira ukiisha kila mmoja anafurahi na best ake huku mashabiki tumenuna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mtani stars kuna watu Inawatesa kabisaa wakifungwaa? Hapana siaminiii
 
Kutokana na kuipa umuhimu mkubwa timu yangu ya taifa, nmejikuta nmepata maumivu makubwa sana. Nahuisi ni depression na sonona. Kila nikiona uzi au post ya taifa stars popote kule naumia zaidi. Sasa wadau tusaidiane mbinu gani nitumie nisiendelee kuumia.
Itakuchukua miezi mitatu kusahau halafu huwezi kusahau maana wadau Kila Kona wanaishangaa timu yetu ya Taifa stars kushikilia bomba wakati wanaongoza kwa goli Moja ambapo pia wapinzani walikuwa pungufu tuna mawali mengi ambayo hayana majibu
 
Siangalii mechi Leo, mtanipa majibu
 
Back
Top Bottom