Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.

Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


 
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.
Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


Hii "attitude" yenu wakenya ndiyo inayowafanya mgombane na Tanzania na majirani wenu wote wanaowazunguka, "attitude" ya kujiona kwamba ninyi mpo sawa wakati nchi zingine ndio zenyeakosa.

Kenya ipo katika mgogoro wa Kibiashara na Uganda, jambo lililosababisha Uganda kununua zaidi bidhaa za Tanzania kuliko Kenya Kama ilivyokua kawaida hapo awali, hata huko pia mnadhani Uganda ndio wenye matatizo ila ninyi mpo sahihi.

Mtafaruku wa biashara Kati ya Kenya na Tanzania umekuwepo toka enzi za Nyerere, katika Utawala wa Kikwete6 ndio ulikua mkubwa Sana hadi kusababishwa kuundwa kwa CoW.

Ukisoma hiyo post yako, ni wazi kwamba bado unataka kuendelea tabia hiyo ya kuonyesha kwamba tatizo lilikua ni Tanzania na sio Kenya, wakati kiukweli Tanzania tumekua tukijibu mapigo baada ya Kenya kuanza kutuchokoza, sikumbuki Kama Kuna siku Tanzania tulianzisha chokochoko.

Pili unapozungumzia uhusiano wa biashara kuboreka, unaonyesha kwamba wakulima wetu ndio watakaofaidika, kwanini usiseme kwamba wakenya wengi watapata uhakika wa chakula na kuokoa maisha ya wakenya wanaokufa kwa Njaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo lenu hamuaminiki,sishangai Magufuli alivyokuwa akiishi na ninyi kwa mashaka,hivyo ndivyo inavyopaswa kuishi na mkenya,mkiheshimiwa mnajiona wajanja na kuanza utapeli wa kijinga, tupige kazi mkuu.
Kwa hivyo hamutaki pesa zetu? Kwa hivyo wakulima wenu waendelee tu kuwa masikini kwa sababu ya siasa?
 
Hii "attitude" yenu wakenya ndiyo inayowafanya mgombane na Tanzania na majirani wenu wote wanaowazunguka, "attitude" ya kujiona kwamba ninyi mpo sawa wakati nchi zingine ndio zenyeakosa.

Kenya ipo katika mgogoro wa Kibiashara na Uganda, jambo lililosababisha Uganda kununua zaidi bidhaa za Tanzania kuliko Kenya Kama ilivyokua kawaida hapo awali, hata huko pia mnadhani Uganda ndio wenye matatizo ila ninyi mpo sahihi.

Mtafaruku wa biashara Kati ya Kenya na Tanzania umekuwepo toka enzi za Nyerere, katika Utawala wa Kikwete6 ndio ulikua mkubwa Sana hadi kusababishwa kuundwa kwa CoW.

Ukisoma hiyo post yako, ni wazi kwamba bado unataka kuendelea tabia hiyo ya kuonyesha kwamba tatizo lilikua ni Tanzania na sio Kenya, wakati kiukweli Tanzania tumekua tukijibu mapigo baada ya Kenya kuanza kutuchokoza, sikumbuki Kama Kuna siku Tanzania tulianzisha chokochoko.

Pili unapozungumzia uhusiano wa biashara kuboreka, unaonyesha kwamba wakulima wetu ndio watakaofaidika, kwanini usiseme kwamba wakenya wengi watapata uhakika wa chakula na kuokoa maisha ya wakenya wanaokufa kwa Njaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jambo moja unalostahili kufahamu ni kuwa sio nyie pekee yenu mnaopanda na kuuza vyakula. Kuna nchi nyingi sana ambazo zinapanda vyakula na kuviuza. Wakati Magufuli alikataza mahindi ya Tanzania yasiuzwe Kenya mbona bado tulinunua tu kutoka nchi nyingine na maisha ikaendelea tu. Msijione kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila nyinyi. Sisi sio kwamba tunawahitaji sana kama wewe unavyofikiria.
 
Hii "attitude" yenu wakenya ndiyo inayowafanya mgombane na Tanzania na majirani wenu wote wanaowazunguka, "attitude" ya kujiona kwamba ninyi mpo sawa wakati nchi zingine ndio zenyeakosa.

Kenya ipo katika mgogoro wa Kibiashara na Uganda, jambo lililosababisha Uganda kununua zaidi bidhaa za Tanzania kuliko Kenya Kama ilivyokua kawaida hapo awali, hata huko pia mnadhani Uganda ndio wenye matatizo ila ninyi mpo sahihi.

Mtafaruku wa biashara Kati ya Kenya na Tanzania umekuwepo toka enzi za Nyerere, katika Utawala wa Kikwete6 ndio ulikua mkubwa Sana hadi kusababishwa kuundwa kwa CoW.

Ukisoma hiyo post yako, ni wazi kwamba bado unataka kuendelea tabia hiyo ya kuonyesha kwamba tatizo lilikua ni Tanzania na sio Kenya, wakati kiukweli Tanzania tumekua tukijibu mapigo baada ya Kenya kuanza kutuchokoza, sikumbuki Kama Kuna siku Tanzania tulianzisha chokochoko.

Pili unapozungumzia uhusiano wa biashara kuboreka, unaonyesha kwamba wakulima wetu ndio watakaofaidika, kwanini usiseme kwamba wakenya wengi watapata uhakika wa chakula na kuokoa maisha ya wakenya wanaokufa kwa Njaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]]
Kama tungeweka vita kando, biashara kati ya Kenya na Tanzania sasa hivi ingekuwa imefikia 5 billion dollars na hata hii 1 billion dollars bado ipo chini mno ukizingatia ukubwa wa uchumi hizi mbili.
 
Jambo moja unalostahili kufahamu ni kuwa sio nyie pekee yenu mnaopanda na kuuza vyakula. Kuna nchi nyingi sana ambazo zinapanda vyakula na kuviuza. Wakati Magufuli alikataza mahindi ya Tanzania yasiuzwe Kenya mbona bado tulinunua tu kutoka nchi nyingine na maisha ikaendelea tu. Msijione kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila nyinyi. Sisi sio kwamba tunawahitaji sana kama wewe unavyofikiria.
Kama unavyojua kwamba Tanzania inafanya biashara kubwa zaidi SADC kuliko EAC, na hata hapa EAC Tanzania ndio Exporter mkubwa kwa nchi zote, soko la Kenya sio muhimu Sana kwetu, kumbuka kwamba chakula ndio bidhaa pekee hapa duniani ambayo Ina wateja wengi baada ya "Oxygen and water", na kila mwaka inazidi kuwa chache ukilinganisha na mahitaji yake.

Kenya ndio yenye kuhitaji zaidi bidhaa za Tanzania kwasababu bila chakula cha Tanzania wakenya wengi wataendelea kufa kwa njaa, Kenya hununua 8% ya mahindi yetu, na Kati ya hayo mahindi Kenya huwauzia South Sudan, Sasa hivi tumefungua kituo cha kuuza mazao kule South Sudan na DRC, kwahiyo hatuna shida Sana na soko la Kenya, ngoja tuone Kama hamtokuja tena kuturudishia dhahabu zetu Kam "gear" ya kuomba chakula[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama tungeweka vita kando, biashara kati ya Kenya na Tanzania sasa hivi ingekuwa imefikia 5 billion dollars na hata hii 1 billion dollars bado ipo chini mno ukizingatia ukubwa wa uchumi hizi mbili.
Lini umesikia Tanzania ikikwaruzana na nchi yoyote kibiashara?, lakini Kenya mnakwaruzana na kila jirani yenu, punguzeni ujuaji na roho mbaya tufanye kazi
 
Jambo moja unalostahili kufahamu ni kuwa sio nyie pekee yenu mnaopanda na kuuza vyakula. Kuna nchi nyingi sana ambazo zinapanda vyakula na kuviuza. Wakati Magufuli alikataza mahindi ya Tanzania yasiuzwe Kenya mbona bado tulinunua tu kutoka nchi nyingine na maisha ikaendelea tu. Msijione kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila nyinyi. Sisi sio kwamba tunawahitaji sana kama wewe unavyofikiria.
Na sio Kenya pekee tunayoiuzia chakula, tupo Juba na Kinshasa kitambo tu na kote huko tuna soko kubwa na zuri kuliko kunyaland

Jana nimekuonesha namna tunavyowauzia finished products ukachanganyikiwa 😅😅😅

Sasa tegemea kupokea biashara ya $ million 700 kutoka Tanzania sababu saivi ni mwendo wa finished products tu no raw maize will cross up there.
 
Lini umesikia Tanzania ikikwaruzana na nchi yoyote kibiashara?, lakini Kenya mnakwaruzana na kila jirani yenu, punguzeni ujuaji na roho mbaya tufanye kazi

Kenya kinachowasumbua ni wivu tu. Wakihisi kwamba unanufaika zaidi katika biashara fulani kuliko wao, utashangaa wanaanza kutupia fitna.

Na majirani wote wameshawajua kwamba hawa wana vichwa vibovu. Kinachofanyika ni majirani kuwadondoshea kitu kizito tu mpaka akili ziwakae sawa. Kipindi cha JPM walikuwa wanajielewa. Maana kwata waliokuwa wakipigishwa hawaji kuzisahau.
😛😛😛
 
Magufuli alikua anawarudisha hawa nyuma, sio kwa mahusiano ya kimataifa tu, hata Tanzania ndani waliishi kwa hofu na migawanyiko, ni Kwa utawala wake tulishuhudia Watanzania wakifanya ukabila wa wazi baina yao bila kuficha wala aibu.
Alichukua mikopo bila kuzingatia taratibu husika na kukurupuka na miradi ambayo kuikamilisha itawatesa sana wananchi.

watanzania wajitafakari mchawi wao sio Kenya, pitieni huu uzi hapa Hatuwezi kuendelea kuilaumu Kenya na Mabeberu kwa matatizo binafsi ya Tanzania: 'We are paying the price of our own Wrongdoings!'
 
jamani jiwee dah....kakomaa na korona hadi kifoo mazeee! kazi iendelee mamaa 😀
 
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule aliyechukia Kenya sana na kuzuia mahindi yenu yasiuzwe Kenya, na kufunga mipaka na kadhalika alifanya uhusiano huu udhoofike sana. Sasa baada ya mama kuingia, biashara imenoga na hata Wakulima wenu wanafaidika.

Njia hii ya urafiki ndio njia nzuri maana kila mtu anapata pesa. Hakuna haja ya vita kila wakati. Huyo mwamba wenu alikuwa mzuri sana kwenye kuwajengea miundombinu lakini alikuwa mbaya sana kwenye kujenga uhusiano na nchi jirani.


Nyie makunyalander from Kunyalanda aka Kenya hatuitaji kitu tokakwenu either ata ifike billions we don't care bro. Maisha nikutafuta sio kutafutana, leave Tz alone, stick on Kenya.
 
Kwa hivyo hamutaki pesa zetu? Kwa hivyo wakulima wenu waendelee tu kuwa masikini kwa sababu ya siasa?
Koma kuwaita wakulima wa Tanzania masikini, ni mkenya yupi anaweza kutoa dollars million 30 kununua mazao kwa wakulima wa kenya?

Watanzania ni matajiri kuliko ninyi

 
Koma kuwaita wakulima wa Tanzania masikini, ni mkenya yupi anaweza kutoa dollars million 30 kununua mazao kwa wakulima wa kenya?

Watanzania ni matajiri kuliko ninyi



Hehehe!!! Hebu kuwa na huruma na aibu kwa ndugu zako hawa, ukivimbiwa ubwabwa hapo Tandale kumbuka kuna ndugu zako wanateseka sana, ukulima umekua mzigo kwao kwa serikali kushindwa kuwatafutia soko hususan awamu iliyopita, walau mama Suluhu anaendelea kurekebisha jengo mbovu la awamu ya tano lililokua limwangukie kwenye awamu yake hii.

 
Hehehe!!! Hebu kuwa na huruma na aibu kwa ndugu zako hawa, ukivimbiwa ubwabwa hapo Tandale kumbuka kuna ndugu zako wanateseka sana, ukulima umekua mzigo kwao kwa serikali kushindwa kuwatafutia soko hususan awamu iliyopita, walau mama Suluhu anaendelea kurekebisha jengo mbovu la awamu ya tano lililokua limwangukie kwenye awamu yake hii.


Apeleke CPB moja kwa moja kutoka hapo mpaka Dodoma kuna lami, CPB watasaga unga na kuwaletea ninyi na sudan na DRC

Au ajiandae kupokea miche ya bure ya kahawa toka serikalini wakati ninyi ardhi yenu yote mumejenga estates, hivi akili mnazo kweli?

 
Hapo nani anaefaidika Tz au Ke hicho ndicho alichokua anakililia JPM msije kuwa nyie ktk hiyo 1b asilimia 70 nyie ndio wanufaika [emoji41]
 
Hehehe!!! Hebu kuwa na huruma na aibu kwa ndugu zako hawa, ukivimbiwa ubwabwa hapo Tandale kumbuka kuna ndugu zako wanateseka sana, ukulima umekua mzigo kwao kwa serikali kushindwa kuwatafutia soko hususan awamu iliyopita, walau mama Suluhu anaendelea kurekebisha jengo mbovu la awamu ya tano lililokua limwangukie kwenye awamu yake hii.


Na wewe Koma kufikiri Tanzania tunalima mahindi tu

Hivi unajua kwamba Tanzania company inayoongoza kulipa kodi ni company ya beer 🍻

Sasa malighafi zote za kutengeneza bia zitatoka Tanzania (awali ni 50% tu ndio ilikua local) na sasa wameingia mikataba na wakulima kununua malighafi yote, yaani wakulima wetu wanazidi kuneemeka (multimillion dollars deal)

Kenya vyote hivi ni imported from outside, nani aliwaroga? Mbona mmekua wavivu hivi?




 
Back
Top Bottom