Wadau, vazi la dera linafaa kwa mpenzi/mke wa mtu?

Wadau, vazi la dera linafaa kwa mpenzi/mke wa mtu?

Mtu wangu anapenda sana vazi la dera; akitoka ni dera tu na mara chache ni sketi au gauni.....anasema kanga au kitenge haviwezi kuvaa kwa maana hajavizoea na huwa vinampa shida sana anapovaa safarini ikiwemo kutomshika vizuri hali inayopelekea kutaka kumvuka hivyo kumkosesha utulivu.

Katika hisia zangu, ndani kabisa huko kwenye akili, silipendi vazi hili kwani mi huwa naona ni kama vazi fulani la kihuni hivi........wanaosasambua huko uswahilini nawaona wakipendelea sana madera; mashangingi nawaona wakipendelea sana madera (kama sikosei); n.k.

Maoni yenu wadau, maana isije ikawa ni 'ushamba' unanisumbua na hatimaye ukaniharibia mahusiano siku moja
keshazoea huyo mkuu muache tu alivae mpaka achoke
 
Dera tamu kama mama ina mzigo, huwa napenda akiwa anafanya shughuli zake za asubuhi kama kupika chai na kuosha vyombo baada ya kuamka atupie dela.

Kuna ka hisia flani katamu kananijiaga kichwani 🤣🤣🤣 ila siri yangu
 
Vazi la dera ni zuri mwanamke akivaa na kitu kingine ndani,,,
Lakini akivaa dera bila kuvaa kitu lingine ndani ni mtihani mzito Mkuu,,
Tena ni shawishi mkuu,,
Zigo linacheza cheza kama paka yupo kwenye kiroba,,,anakwenda kutupwa..
Hahahaa
 
dera_.jpg
 
Back
Top Bottom