View attachment 3100451
Israel imekuwa ikidukua simu zinazotumia internet na minara ya simu kufuatilia mawasiliano na location.
Kikundi cha Hezbollah waliamua kukwepa tundu hili kwa kutumia pagers zinazotumia mawimbi ya redio pamoja na radiocalls kuwasiliana lakini bado Israel iliweza kudukua mawasiliano, kujua locations zao na ku trigger milipuko iliyojeruhi members wengi wa Hezbollah.
Tukitilia maanani udogo wa nchi na population yake, Israel wapo level gani kwenye haya mambo kidunia ?
Think out of the box, sio kwamba Mossad, ili hack simu zaidi ya 2000+, solar panel, pagers no, na kuzilipua, unawezaje kuvikia vifaa vyote hivyo kwa watu tofsuti, it's impractical,
Walichofanya Mossad, walipata taarifa za kijasusi kwamba, Hezbollah, inategemea kuagiza simu, pagers, nk,hapo ndio Mossad wakaingia kazini, wakatengeneza shell company, huko hungary, maofisa wa Hezbollah, bila kujua, wakaagiza mzigo, wakawa wanafsnya mazungumzo na hiyo kampuni, bila kujua ni front ya Mossad, mzigo ukatayalishwa, simu zikawekwa explosive material, mzigo ukaingia Lebanon, ukagaiwa kwa kila member wa Hezbollah, myahudi akasubili ahakikishe, kila kenge wa Hezbollah kapata ya kwake, then wanafsnya Yao, hii operation ni takribsn miezi 3