Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Beauty Eva
Ni mfupi wa wastani, mweupe ,mwenye umbo dogo dogo hivi na mkimya sana. Ni mtu wa kanisani sana tu. Umri wake ni chini ya miaka 25.



Evelyn Salt
Huyu ni maji ya kunde, mwembamba na muongeaji sana. Ni wale wadada ambao hawachelewi kukupa makavu laivu. Umri wake ni kati ya 25 years na 35 years.


Miss Natafuta
Huyu mimi huwa siamini kama ni jinsia ya kike. Mwandiko wake na uumbaji wa sentensi zake unaonyesha kuwa ni jinsia ya kiume, ila ameamua kutumia jina la kike.

Ni kijana wa kiume mwenye umri wa kati ya miaka 22 na 28

MziziMkavu
Ni Ustaadh, mwenye umri wa kati ya miaka 40 na 50. Ni mtu aliyeshika sana dini na ni mtu mwenye busara sana.
 
Beauty Eva
Ni mfupi wa wastani, mweupe ,mwenye umbo dogo dogo hivi na mkimya sana. Ni mtu wa kanisani sana tu. Umri wake ni chini ya miaka 25.



Evelyn Salt
Huyu ni maji ya kunde, mwembamba na muongeaji sana. Ni wale wadada ambao hawachelewi kukupa makavu laivu. Umri wake ni kati ya 25 years na 35 years.


Miss Natafuta
Huyu mimi huwa siamini kama ni jinsia ya kike. Mwandiko wake na uumbaji wa sentensi zake unaonyesha kuwa ni jinsia ya kiume, ila ameamua kutumia jina la kike.

Ni kijana wa kiume mwenye umri wa kati ya miaka 22 na 28

MziziMkavu
Ni Ustaadh, mwenye umri wa kati ya miaka 40 na 50. Ni mtu aliyeshika sana dini na ni mtu mwenye busara sana.
Miss Natafuta unaitwa huku Central Police,eti ujibu tuhuma inayokukabili!!
 
Habari

Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano


1.faizafoxy

Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.



2.BAK

huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.



3.Nifah

huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.


4.Miss chaga

Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.



5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.


6.Joanah

ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby



7.evelyn salt

Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu



8.mshanajr

Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi

9.Nyagi ngabu


Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki




WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...


Asante
Ukinitaja mimi nitakusifu hadi mwisho jf
 
Una nyodo flan za kujiona mzuri
Actually siyo mbaya kwa mtoto wa kike
Lakini mara nyingi wanazo wanawake weupe
Aisee!
Tangu nijiunge jf ndio mara ya kwanza napata comment ya namna hii

Naacha nyodo za kujiona mzuri kuanzia sasa hivi...only for you chief1
 
Aisee!
Tangu nijiunge jf ndio mara ya kwanza napata comment ya namna hii

Naacha nyodo za kujiona mzuri kuanzia sasa hivi...only for you chief1
Mind you
Siyo kitu kibaya
Ni yale mapozi ya kike tu
 
Beauty Eva
Ni mfupi wa wastani, mweupe ,mwenye umbo dogo dogo hivi na mkimya sana. Ni mtu wa kanisani sana tu. Umri wake ni chini ya miaka 25.



Evelyn Salt
Huyu ni maji ya kunde, mwembamba na muongeaji sana. Ni wale wadada ambao hawachelewi kukupa makavu laivu. Umri wake ni kati ya 25 years na 35 years.


Miss Natafuta
Huyu mimi huwa siamini kama ni jinsia ya kike. Mwandiko wake na uumbaji wa sentensi zake unaonyesha kuwa ni jinsia ya kiume, ila ameamua kutumia jina la kike.

Ni kijana wa kiume mwenye umri wa kati ya miaka 22 na 28

MziziMkavu
Ni Ustaadh, mwenye umri wa kati ya miaka 40 na 50. Ni mtu aliyeshika sana dini na ni mtu mwenye busara sana.
Miss Natafuta una la kujibu hapa[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Kwaiyo usiyaache hayo mapozi ndo uanamke huo,na ndio tunapenda
Siyo mwanamke anakutajia kikosi kizima cha leicester city khaaa!
Hahah
Mi sipendi kuwa hivyo unavyosema na
najua sijawahi kuwa hivyo kwasababu kiuhalisia nna aibu sana sanaa
 
Back
Top Bottom