Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Wewe mbona haujajitaja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ni New id usishangae au alikuwa anatumia jf Kama viewers wa kawahda pasipo kusign inJoined last Sunday. Kaa hata wiki mbili basi ndo uweze kuwafahamu wahusika. Watu tumekata miaka miwili bado hatujui member hata mmoja labda wale verified nao ni kwa sura basi.
Huwezi kujijua mwenyeweHahah
Mi sipendi kuwa hivyo unavyosema na
najua sijawahi kuwa hivyo kwasababu kiuhalisia nna aibu sana sanaa
Nafahamu siwezi kujijua ila ata wanaonifahamu hakuna anayeniambia naringia uzuriHuwezi kujijua mwenyewe
Tatizo umeimagnify na kuichukulia tofauti,ila ni feminism tu,hata ile kujikubali tu kwamba ni mzuri inakufanya ujiamini kama mwanamke. Ukikutana na mtu asiyejiamini atakuchukulia unaringa hata kama hujazungumza kitu na hakujuiNafahamu siwezi kujijua ila ata wanaonifahamu hakuna anayeniambia naringia uzuri
Habari
Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano
1.faizafoxy
Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.
2.BAK
huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.
3.Nifah
huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.
4.Miss chaga
Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.
5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.
6.Joanah
ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby
7.evelyn salt
Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu
8.mshanajr
Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi
9.Nyagi ngabu
Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki
WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...
Asante
dah yani hiyo avatar yako nikiiangalia moyoni hata kama nilikuwa na huzuni hupotea.Hii kali
mvulana wa kichaggaUkinitaja mimi nitakusifu hadi mwisho jf
Kwa Miss Chagga umekosea sana.Habari
Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano
1.faizafoxy
Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.
2.BAK
huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.
3.Nifah
huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.
4.Miss chaga
Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.
5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.
6.Joanah
ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby
7.evelyn salt
Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu
8.mshanajr
Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi
9.Nyagi ngabu
Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki
WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...
Asante
Nimempenda huyu bure tatizo kwetu kolomije[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipo ila vimepanda bei saaana ngoja nijitafutie goma humu maana stimu zimelipiwaHivi hivi viroba kumbe bado viko mtaani eeeeh... wewe umewaona wapi hao watu