Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Joined last Sunday. Kaa hata wiki mbili basi ndo uweze kuwafahamu wahusika. Watu tumekata miaka miwili bado hatujui member hata mmoja labda wale verified nao ni kwa sura basi.
Inawezekana ni New id usishangae au alikuwa anatumia jf Kama viewers wa kawahda pasipo kusign in
 
Nafahamu siwezi kujijua ila ata wanaonifahamu hakuna anayeniambia naringia uzuri
Tatizo umeimagnify na kuichukulia tofauti,ila ni feminism tu,hata ile kujikubali tu kwamba ni mzuri inakufanya ujiamini kama mwanamke. Ukikutana na mtu asiyejiamini atakuchukulia unaringa hata kama hujazungumza kitu na hakujui
Mtu anayekujua ndo atajua kwamba huringi ila unajiamini tu
 
1.lege
Ni kijana mwenye umbo LA wastani,umri wake miaka 30 mpaka 35 hv,mweusi kiasi anayeamini taaluma bora Zaid ni udaktari.

2. The bold
Kijana mwenye umri Kati ya miaka 30 mpaka 40 hv,
Maji ya kunde,mwembamba kiasi,kimo cha wastani hv
 
Si bure utakuwa umetumwa kuja kutupeleleza.!
 
Habari

Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano


1.faizafoxy

Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.



2.BAK

huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.



3.Nifah

huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.


4.Miss chaga

Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.



5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.


6.Joanah

ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby



7.evelyn salt

Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu



8.mshanajr

Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi

9.Nyagi ngabu


Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki




WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...


Asante

Hivi Wewe huwezi kuwa ndiyo yule Mzee wa Mkoani Kigoma aliyemwambia Mkuu wa Wilaya kuwa hatoacha kulima na kuvuta Bange / Bangi kwani ameanza kulima na kuitumia tokea mwaka 1973? Halafu rekebisha hapo katika ID yangu naitwa GENTAMYCINE na siyo hivyo ulivyoandika Wewe.
 
Habari

Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano


1.faizafoxy

Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.



2.BAK

huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.



3.Nifah

huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.


4.Miss chaga

Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.



5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.


6.Joanah

ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby



7.evelyn salt

Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu



8.mshanajr

Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi

9.Nyagi ngabu


Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki




WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...


Asante
Kwa Miss Chagga umekosea sana.
 
Mleta Uzi, kwakua huu Uzi hauna maana, NA unaonekana KUKOSEA SANA.

NA KWA WENGINE HII NI KAMA MATUSI NASHAURI UNGEUFUTA TU.
TOO BAD.
 
Back
Top Bottom